Tuesday 19 April 2016

BREAKING NEWS:MKURUGENZI WA JIJI LA DAR WILSON KABWE ASIMAMISHWA KAZI LEO

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kwa habari zilizotufikia mda huu Ni kwamba Mh.Wislom kabwe amesimamishwa kazi ,kutokana na kuhusika katika mikataba inayoipelekea serikali hasara kubwa.

 hatua hiyo imefikia wakati MH.MAKONDA aliesema mbele ya MAGUFULI katika uzinduzi wa daraja la kigamboni leo tarehe 19.4.2016 kwamba mikataba iliyofanywa na mkurugenzi huyo wa jiji.ikiwemo ya parking ya magari kuwa haipo kihalali na inaleta hasara kwa serikali.
Tafadhali endelea kutembelea MASWAYETU BLOG Tutawaletea taarifa zaidi mda si mrefu.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger