Friday 15 April 2016

UEFA UEFA Champions League SEMI FINAL DRAW

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
RATIBA YA UEFA NUSU FAINALI 2016


MAN CITY vs REAL MADRID, ATLETICO vs BAYERN MUNICH
Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imepanga na inavyoonekana shughuli itakuwa pevu.
Matajiri wa Jiji la Manchester, Manchester City wanatarajiwa kukipiga dhidi ya Real Madrid wakati wabishi wa Jiji la Madrid, Atletico Madrid watawavaa Bayern Munich.
Mechi za kwanza za hatua hiyo zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, mwaka huu.
 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger