Sunday 17 April 2016

TUNDAMAN APATA AJALI YA GARI IRINGA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Muimbaji wa Tip Top Connection, Tundaman, amepata ajali mbaya ya gari Jumapili hii. Ajali hiyo imetokea katika eneo liitwalo Idetelo, Nyololo katika mji wa Makambako wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Aurion

Aliyekuwa dereva wa gari hilo amepoteza maisha na mwili wake umehifadhiwa kwenye hospitali ya wilaya ya Mufindi.


Meneja wa kundi hilo, Babutale amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

“Nimepokea simu nyingi za kuulizwa hali ya msanii wangu @tundamantz mungu mkubwa ametoka salama ingawa wamepata mtihani mkubwa wa kumpoteza dereva aliyekua anaendesha gari yao amefariki Hapo Hapo. Kazi yake mola aina makosa,” ameandika Tale kwenye Instagram.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger