
Monday, 18 April 2016
MWENGE WAWASHWA NA MAKAMU WA RAIS MH.SAMIA ,ANGALIA HAPA RATIBA YA MBIO ZA MWENGE 2016


Katika
uzinduzi huo, viongozi mbalimbali wa Serikali, dini na vyama vya siasa
wamealikwa kushiriki wakiwemo pia mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania pamoja na Waziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
0 comments:
Post a Comment