Saturday 17 August 2024

KIJANA AFARIKI WAKATI AKIHONDOMOLA TENDO LA NDOA NA BINTI GHETONI... CHANZO CHADAIWA DAWA ZA KUBOOST NGUVU

...



Kijana mwenye umri wa miaka 23 Raia wa Burundi amepoteza maisha wakati akifanya mapenzi.

Tukio hilo limeripotiwa kutokea Jumanne 12 August 2024 katika tarafa ya Kayogoro mkoani Makamba kusini mwa nchi ya Burundi.

Kijana huyo ajulikanae kwa jina la Eric(23) alipata mgeni ambaye pia alikuwa mpenzi wake aliyetambulika kwa jina la Grace (17) ndipo walipoanza kufanya mapenzi nyumbani kwa kijana huo baada ya mda Éric alipoteza maisha

Kwa mujibu wa mamlaka za vyombo vya dola na idara ya afya nchini Burundi chanzo cha kifo ni mshtuko wa moyo ambapo imedhibitishwa na daktari mkuu wa mkoa wa Makamba ambaye alifika eneo la tukio.

Majirani wa marehemu wakihisi kuwa kijana huo alitumia vidonge vya kuongeza nguvu kwenye tendo kitu ambacho hakijaweza kudhibitishwa.

Marehemu atazikwa jumamosi 17 August 2027 huku mwanamke aliyeshiriki naye mapenzi akishikiliwa na jeshi la polisi.

Kamishina wa jeshi la polisi mkoa wa makamba amefahamisha vyombo vya habari kuwa msichana huyo amewekwa kizuizini kwa ajili ya kulinda usalama wake.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger