Sunday 30 June 2024

YUSUPH MANJI AFARIKI DUNIA

...



Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mkurugenzi wa Kampuni ya Qualify Group LTD, Yusuph Manji, amefariki Dunia jana Jumamosi, Juni 29, 2024 huko Florida nchini Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu.

Taarifa za kifo cha Manji zimethibitishwa na mtoto wake Mehbub Manji.

Taarifa zaidi kukujia...

CHANZO: MWANANCHI_OFFICIAL

https://ift.tt/9yFWi7c

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger