Monday 13 February 2023

Picha : MKUTANO WA MWAKA WA WATOA HUDUMA WA SEKTA YA UTANGAZAJI TANZANIA

...


Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Bakari akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Watoa Huduma wa Sekta ya Utangazaji Tanzania unaofanyika Jijini Dodoma Februari 13 na 14,2023 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete ambapo mgeni rasmi ni Naibu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Kundo Mathew


Kauli mbiu ni Mchango wa Sekta ya Utangazaji katika kukuza uchumi wa kidigitali
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Bakari akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Watoa Huduma wa Sekta ya Utangazaji Tanzania unaofanyika Jijini Dodoma Februari 13 na 14,2023 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabir Bakari akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa Watoa Huduma wa Sekta ya Utangazaji Tanzania unaofanyika Jijini Dodoma Februari 13 na 14,2023 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.


Picha : Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger