Monday 2 January 2023

WANAFUNZI WAFARIKI BAADA YA MASHUA KUZAMA

...

Wanafunzi watatu kutoka Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya wamefariki dunia baada ya mashua waliyokuwa wameabiri kuzama eneo la Budalangi, kaunti ya Busia.

Wanafunzi hao watatu walikuwa sehemu ya kundi cha wanafunzi saba ambao walikuwa wamekwenda kufurahia safari ya mashua kabla ya mambo kwenda mrama. 

Kwa mujibu wa ripoti ya runinga ya Citizen, kamanda wa polisi wa kaunti ndogo ya Bunyala Isaiah Mose alisema wanafunzi wanne kati ya saba wameokolewa huku miili mitatu ya ikiwa bado haijaopolewa.

Shughuli za kutafuta mabaki yao zilisitishwa baada ya giza kuingia Jumamosi, Disemba 1, na zinatarajiwa kurejea leo .
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger