Sunday 30 December 2018

DKT.BASHIRU ALLY ATOA SIKU TATU KWA UONGOZI WA KCU, WAWE WAMEWALIPA WAKULIMA WA KAHAWA FEDHA ZAO.

...
  Na, Mwandishi wetu, Kagera. Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi taifa Dkt Bashiru Ally amewapa muda wa siku tatu viongozi wa chama kikuu cha ushirika KCU (T)199 LTD Mkoani Kagera, kuhakikisha kinawalipa wakulima wa zao la kahawa fedha za awali kabla hawajachukuliwa hatua. Dkt Bashiru Ally ametoa maagizo hayo wakati akizungumza na wajumbe wa halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi kwenye kikao utendaji kazi kilichowahusisha wajumbe kutoka halmashauri za Biharamulo na Muleba. Amesema kuwa wapo baadhi ya wakulima wanadai fedha zao tangu msimu uanze Mwezi Mei mwaka huu hadi…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger