Saturday 29 December 2018

“DANA DANA” ZA KOROSHO ZAENDELEA,SERIKALI YA JPM YAZIFUNGA AKAUNTI HIZI KISA HIKI

...
WAKATI Wakulima wa Korosho wakiwa wanailalamikia Serikali kwa hatua ya kuchelewesha malipo yao huku wengine wakikata tamaa ni wazi suala hilo limeendelea kupigwa “dana dana” ndivyo naweza kusema baaada ya Serikali kuibuka na kutangaza  kuzifunga kwa muda akaunti 191 za benki zinazomilikiwa na wakulima wa korosho kupisha uhakiki wa kina wa umiliki wa korosho walizouza. Uamuzi huo unakuja wakati ikiwa imeshaingiza Sh3.8 bilioni kwenye akaunti hizo katika mfululizo wa uhakiki na ulipaji wakulima wa zao hilo unaoendelea nchini. Akizungunza na gazeti la The Citizen, Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga alisema…

Source

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger