Monday, 31 December 2018

WANAOMILIKI BAABARA ZA AFYA BILA KUFUATA SHERIA KUANGUKIWA NA TAMISEMI

Wamiliki wa Maabara binafsi za Afya wametakiwa kufuata sheria na kanuni za kumiliki Maabara binafsi ikiwemo kulipa ada stahiki za uhakiki wa ubora wa huduma na ukaguzi za kila mwaka na yeyote atakeyekiuka hatua kali za kisheria dhidi yake zitachukuliwa. Akizungumza na waandishi wa Jijini Dar es salaam leo, Mkurugenzi wa Tiba WAMJW na ni Mwenyekiti Bodi ya usajili wa maabara binafsi za Afya (PHLB)Dkt...
Share:

MWILI WA MWANASIASA MKONGWE NDEJEMBI KUZIKWA KESHO DODOMA

Mwili wa mwanasiasa mkongwe nchini Pancras Ndejembi unatarajia kuzikwa kesho Jumanne Januari Mosi, 2019 katika kitongoji cha Chizomoche kijiji cha Bihawana Jijini Dodoma. Ndejembi (90) alifariki dunia Jumamosi Desemba 29, 2018 saa 2 asubuhi katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Dodoma. Mweyekiti...
Share:

POLISI DODOMA WAKANUSHA MTOTO WA MTOTO KUFUNGIWA KABATINI

Wakati binti wa kazi akieleza jinsi mwanaye mwenye umri wa miezi mitano alivyofungiwa kabatini na mwajiri wake mkoani Dodoma kwa muda wa miezi sita, Jeshi la Polisi mkoani humo limekanusha madai ya mtoto huyo kufungiwa kabatini. Binti huyo wa miaka 15, jana Desemba 30, 2018 akiwa katika Hospitali...
Share:

SERIKALI YATOA MAAGIZO KWA WAMILIKI WA VITUO VYA AFYA NA MAABARA BINAFSI

Wamiliki wa maabara na vituo vya afya nchini wametakiwa kutimiza wajibu wao mara moja bila shurti kabla ya Januari 15 2019 kwa kuhakikisha wanakamilisha vigezo vyote vya umiliki maabara hizo kwa kuwa muda wa kutoa elimu umepita na sasa ni muda wa kazi tu. Akizungumza na wanahabari leo jijini Dar...
Share:

HII NDIYO SABABU YA BASI LA MWENDOKASI KUUNGUA MOTO

Kampuni inayotoa huduma katika mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam (UDA-RT) imeeleza chanzo cha ajali iliyoyokea mchana Desemba 25, mwaka huu eneo la Ubungo Maji ilitokana na hitilafu ya mfumo wa umeme. Taarifa ya Mkurugenzi Mtendaji wa UDART, John Nguya kwa vyombo vya habari imeeleza...
Share:

AFGHANISTAN YAONGOZA VIFO WANATASNIA YA HABARI 16 WAUAWA 2018

Shirikisho la mashirika ya waandishi wa habari, IFJ imesema kuwa idadi ya waandishi wa habari na wafanyakazi wa tasnia ya habari waliouawa mwaka wa 2018 imepanda na kufika 94. Miongoni mwa hao 84 walikuwa waandishi wa habari, wapiga picha, mafundi mitambo na madereva. Kulingana na ripoti ya shirika hilo, nchi hatari zaidi kwa waandishi wa habari mwaka huu unaomalizika ilikuwa, Afghanistan ambako...
Share:

CCM TABATA YAPIGA MARUFUKU KUTOA TAARIFA ZA CHAMA MITANDAONI

Na Heri Shaban CHAMA cha Mapinduzi CCM Tabata Mtambani kimetoa Elimu na kuwapiga msasa Jumuiya za Chama hicho kwa kuwapa elimu kila kiongozi afahamu majukumu yake. Semina hiyo iliandaliwa na CCM Tabata Mtambani ilifunguliwa Dar es salaam hii leo,na Katibu wa CCM Tabata Haruna Aliphonce ambapo katika ufunguzi alipiga marufuku taarifa za chama cha mapinduzi kujadiliwa mitandaoni badala yake aliwataka...
Share:

SIMBA YAONESHA UTII

Kocha wa Simba Patrick Aussems Licha ya kukabiliwa na mechi ya klabu bingwa Afrika hatua ya makundi klabu ya Simba, imesema itasafiri siku ya Jumatano ya tarehe 2.01.2019, kuelekea visiwani Zanzibar kwa ajili ya kushiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Simba...
Share:

Taharuki ! KABURI LAFUKULIWA..SANDA YACHOMWA MOTO

Taharuki katika kitongoji cha Kipondoda wilayani Manyoni mkoani Singida baada ya kaburi moja ambalo linadaiwa kuzikwa mtu siku tano zilizopita na kukutwa limefukuliwa huku sanda ikiwa imechomwa moto upande wa miguuni. Mwajiri wa marehemu ambaye alishiriki maziko ya ndugu huyo, amesema marehemu Jamal...
Share:

ANUSURIKA KIFO KWA KUCHOMWA MKUKI KISA UGOMVI WA SHAMBA

Na,Naomi Milton Serengeti Mwita Mtatiro(30) mkazi wa Kijiji cha Kwitete wilayani Serengeti amenusurika kufa baada ya kuchomwa mkuki na mtu aitwaye Nkori Mwita mkazi wa Kijiji cha Kwitete chanzo kikielezwa kuwa ni mgogoro uliopo baina yao kuhusu mpaka wa shamba Mtatiro aliyelazwa wodi ya wanaume kitanda namba 2 katika hospital Teule ya Nyerere Ddh anaugulia maumivu huku akiwa na jeraha eneo la kifuani...
Share:

UHURU MEDIA GROUP YAWAPA MOTISHA WAFANYAKAZI WAKE WOTE

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Uhuru Media Group Faustine Sungura akimkabidhi mmoja wa wafanyakazi kutoka Idara ya Utawala,Banga Lucas kiasi cha fedha ikiwa ni sehemu ya motisha iliyotolewa kwa wafanyakazi wote wa kampuni hiyo ikiwa kama sehemu ya kuthamini mchango wao.Picha na Michuzi Jr-MMG. Mkurugenzi...
Share:

Good News : NJIA RAHISI KABISA YA KUPAKUA APP MPYA YA MALUNDE1 BLOG...

Usikubali kupitwa na habari yoyote..Ili uwe wa kwanza kupata habari na matukio yanayojiri Tanzania na dunia kote tafadhali pakua/ Download App  mpya ya Malunde 1 blog  ili tukuhabarishe usiku na mchana. App hii imeboreshwa kukupa vitu roho inapenda...Pia tutakuwa tunakutumia habari...
Share:

STAND UNITED KUISHTAKI TFF, BIGIRIMANA KUSAJILIWA ALLIANCE FC

Dr. Ellyson Maeja Uongozi wa klabu ya Stand United ya mkoani Shinyanga umepanga kulishtaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutokana na hatua yake ya kumruhusu aliyekuwa mchezaji, Bigirimana Blaise, kusajiliwa na timu ya Alliance FC ya Mwanza. Mwenyekiti wa Stand United, Dk. Ellyson Maeja, alisema...
Share:

MANARA AWAINGIZA YANGA MTEGONI

Msemaji wa Mabingwa Watetezi, Klabu ya Simba, Haji Manara amehoji Mamlaka ya mapato Tanzania juu utaratibu wa watani zao wa jadi kuhusu kuchangisha kwa ajili ya klabu yao na kuuliza kama utaratibu huo ni sahihi. Manara amehoji iwapo kama Klabu hiyo inayoongoza msimamo wa ligi kuu soka Tanzania bara...
Share:

ZITTO KABWE AANIKA ORODHA YA VITABU 49 ALIVYOSOMA MWAKA 2018

Tangu Mwaka 2012 nimekuwa naorodhesha vitabu nilivyosoma katika mwaka. Si vitabu vyote huviweka hapa kwani vingine huwa nasoma na kuviacha njiani ama kutopendezwa navyo au kwa kusahau tu.  Vitabu vingine huwa vitabu rejea na huvirudia kwa ajili ya mafunzo ili kufanya maamuzi Fulani Fulani au...
Share:

WENYE MIZANI FEKI WAENDELEA KUBANWA

Katika kuhakikisha kwamba mnunuzi wa bidhaa hapunjwi, Wakala wa Vipimo Nchini (WMA), wameendelea kufanya ukaguzi wa mizani zinazotumika sehemu tofauti hasa kwa wauzaji wa zao la korosho. Lengo la kufanya hivyo ni kutaka kubaini mizani zisizo na viwango ambazo hazitoi kipimo kinachostahili. WMA ilitembelea...
Share:

RC MWANRI AIAGIZA BODI YA PAMBA KUNUNUA PAMBA YA WAKULIMA

Na Tiganya Vincet SERIKALI ya Mkoa wa Tabora imeagiza Bodi ya Pamba Tanzania (TCB) kuhakikisha inanunua pamba iliyobaki Daraja B (fifi) ya wakulima wa Urambo ili kutowakatisha tamaa ya kuendelea na kilimo hicho. Kauli hiyo imetolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri kufuatia malalamiko...
Share:

TETESI ZA SOKA ULAYA JUMATATU DEC, 31 2018

Kiungo wa kati wa Real Madrid Isco, 26, amepuuzilia uwezekano wake wa kuhamia klabu ya Chelsea ya England. Amesema hataondoka Bernabeu wakati wa kipindi cha kuhama wachezaji Januari. (Deportes Cuatro, kupitia Metro) Manchester City wanamfuatilia kwa karibu beki wa kushoto wa Real Betis Junior Firpo...
Share:

BWANA HARUSI AFARIKI GHAFLA KANISANI AKISUBIRI KUFUNGA NDOA

Sherehe ya harusi iliyokuwa ifanyike juzi jioni katika Kanisa la Nabii wa Utukufu wa Bwana lilipo Olmatejoo, Kata ya Sakina jijini Arusha na kwenye ukumbi wa Sariko Olasiti Garden, iligeuka msiba baada ya bwana harusi kufariki dunia ghafla akiwa kanisani. Tukio hilo lilitokea majira ya saa 11 jioni...
Share:

RADI YAUA,KUJERUHI TUNDURU

Mkazi wa Kijiji cha Nambalapi mashambani, Kata ya Masonya, wilayani Tunduru, Awetu Adam (33), amefariki dunia baada ya kupigwa na radi iliyoambatana na upepo mkali akiwa shambani. Mvua hiyo iliyonyesha Desemba 29, mwaka huu kwa saa nne kuanzia saa 9 hadi 12 jioni imeripotiwa pia kuezua na kubomoa...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger