Sunday, 31 May 2020

Video kali : BAHATI BUGALAMA - UTAFUTAJI

Hii hapa ngoma mpya ya Msanii Bahati Bugalama inaitwa Utafutaji..Itazame hapa chini ...
Share:

Tazama Video : GUDE GUDE - SIRI YA MAISHA

Hii hapa ngoma ya Msanii wa Nyimbo za asili Gude Gude inaitwa Siri ya Maish.. Tazama hapa chin...
Share:

AWAMU YA PILI YA WATANZANIA WALIOKWAMA INDIA KUTOKANA NA UGONJWA WA CORONA WAREJEA NCHINI

Serikali yarejesha kwa awamu ya pili Watanzania 192 waliokuwa wamekwama nchini India kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa COVID-19. Ubalozi wa Tanzania nchini India kwa kushirikiana na Shirika la Ndege la Tanzania [ATCL] pamoja na Diaspora wa Tanzania nchini India kwa mara nyingine wamefanikisha...
Share:

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya Nane (08)

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWA Age-18+ Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188 ILIPOISHIA Akaning’inizwa hewani huku mikono yake ikiwa imechanuliwa mithili ya Yesu alivyo sulubiwa msalabani. Wapelelezi hao wakamwagia maji mwilini mwake, kisha mmoja wao ahachukua nyaya mbili za umeme, zenye hasi na...
Share:

Uchimbaji Holela Wa Madini Unachangia Kuharibu Uoto Wa Asilina Misitu Iliyohifadhiwa Kisheria

SALVATORY NTANDU Imebainishwa kuwa shughuli za uchimbaji wa Madini ya Dhahabu katika Machimbo mbalimbalI ya dhahabu  Wilayani Mbogwe mkoani Geita unachangia kwa kiasi kikubwa katika uharibifu wa Misitu iliyohifadhiwa  kutokana na ukatiji holela wa magogo yanayotumika katika ujenzi wa Maduara...
Share:

‘‘Tuwekeze Kwenye Viwanda Vinavyotumia Malighafi Za Ndani’’- Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda

Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amewataka Watanzania kuwekeza katika sekta ya viwanda vinavyotumia malighafi za ndani. Prof. Shemdoe aliyasema hayo Mkoani Simiyu alipokuwa katika ziara ya siku moja kutembelea Viwanda katika Mkoa huo. Katika ziara hiyo Katibu Mkuu na...
Share:

Rwanda yaripoti kifo cha kwanza cha ugonjwa wa Corona

Wizara ya Afya ya Rwanda imetangaza kifo cha kwanza kilichosababishwa na ugonjwa wa COVID-19 (corona) katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Katika taarifa ya leo Jumapili, wizara hiyo imesema aliyeaga dunia ni dereva wa lori mwenye umri wa miaka 65 na ambaye alikuwa amerejea nchini humo hivi karibuni...
Share:

Spika mpya wa Bunge la Iran atoa wito wa kulipa kisasi kwa Marekani

Spika mpya wa Bunge la Iran Mohammad Ghalibaf amesema leo majadaliano yoyote na Marekani hayatokuwa na manufaa na badala yake mkakati wa Iran unapaswa kuwa wa kulipa kisasi na siyo mazungumzo.  Ghalibaf, kamanda wa zamani wa kikosi cha anga katika jeshi la walinzi wa mapinduzi ametoa matamshi...
Share:

Je Wewe Ni Mwanasiasa, Mfanyabiashara, Msanii au Mwanamziki.... Tunazo Dawa Na Pete Za Bahati

Je Wewe ni MWANASIASA, MFANYABIASHARA, MSANII  wa Maigizo, MWANAMZIKI, ama MWANAFUNZI tunazo dawa na PETE za BAHATI zenye uwezo mkubwa wa Kuyabadilisha MAISHA yako nakukupatia MAFANIKIO MAKUBWA ndani ya mda mfupi tu.   Hapa Leo tutazungumzia Pete zenye Bahati na power yani nguvu za ziada...
Share:

WAZIRI MKUU MAJALIWA KUANZA ZIARA MKOANI TANGA KESHO

 MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo leo  ambao hawapo pichani kuhusu ziara maalumu ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa itakayoanza kesho Jumatatu MKUU wa Mkua wa Tanga Martine Shigella akizungumza na waandishi wa habari mkoani humo kuhusu ziara...
Share:

Utaratibu wa Uendeshaji ligi za soka na michezo mingine hapa nchini

...
Share:

IGP Sirro Awataka Wanaoachiwa Kwa Msamaha Wa Rais Kufuata Sheria Za Nchi

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amewataka baadhi ya wananchi ambao ni washtakiwa au wafungwa wanaopata msamaha wa Rais kutoka gerezani, kuacha kujiingiza katika matukio ya uhalifu jambo ambalo nikinyume na sheria za nchi. IGP Sirro amesema hayo akiwa kwenye ziara ya ukaguzi mkoani...
Share:

Mawasiliano ya kidijitali yanavyosaidia kutuleta pamoja

Mawasiliano ya kidijitali yanavyosaidia kutuleta pamoja Ugonjwa wa korona (COVID-19) umebadili maisha ya watu wengi kwa namna ambazo hatukutegemea.  Moja ya badiliko makubwa ni lile la kupunguza mikusanyiko, kukabaribiana na wengine kuathiri mipango ya safari. Bahati nzuri teknolojia ya mawasiliano...
Share:

Naibu Katibu Mkuu Wizara Ya Elimu Akagua Maandalizi Ya Mapokezi Ya Wanafunzi Mzumbe

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia Dr. Evamarie Semakafu, ametembelea Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi Kuu Morogoro, kukagua maandalizi ya kuwapokea wanafunzi tarehe 01 Juni 2020, kufuatia tamko la hivi karibuni la Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli...
Share:

Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi

Zaidi ya shule 200 nichini Korea Kusini zimelazimika kufunga tena shule siku chache baada ya kufunguliwa, kutokana na ongezeko la maambukizi ya virusi vya corona. Mapema Jumatano, melfu ya wanafunzi walirejea shuleni baada ya kufunguliwa tena nchini humo na kulegeza masharti yaliyowekwa awali kukabiliana...
Share:

Mashauri 4,711 Yasikilizwa Kwa Mahakama Mtandao Kuepuka Corona

Na Magreth Kinabo –Mahakama      Mahakama ya Tanzania imefanikiwa kuendesha mashauri 4,711 kwa njia ya Mahakama Mtandao maarufu kama ‘Video Conference’ ikiwa ni hatua mojawapo  za kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa COVID 1 9 katika...
Share:

Serikali Yatahadharisha ‘Tegesha’ Nyamongo

Na Munir Shemweta, WANMM TARIME Serikali imewatahadharisha wananchi wa kijiji cha Komarera kata ya Nayamongo Tarime Vijijini mkoani Mara kuacha tabia ya kufanya maendelezo maarufu kama Tegesha katika eneo linalotaka kuchukuliwa na Mgodi wa Dhahabu wa Barrick North Mara kwa shughuli za uchimbaji madini. Tahadhari...
Share:

Serikali Yataka Mikopo Ya Tadb Kuwa Chachu Kwa Wavuvi Kuanzisha Viwanda Vidogo.

Na. Edward Kondela Serikali imesema inataka kuona uanzishwaji wa viwanda vidogo vidogo vya wafugaji na wavuvi kupitia mikopo inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ili kuyaongezea thamani mazao yanayotokana na sekta za mifugo na uvuvi. Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah...
Share:

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili May 31

...
Share:

Saturday, 30 May 2020

Picha : RAIS MAGUFULI NA MARAIS WASTAAFU WAWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA OFISI ZA IKULU YA CHAMWINO DODOMA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika Chepe ili kuweka zege na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benja min Mkapa kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi Ujenzi Ofisi za Ikulu ya Chamwino Mkoani...
Share:

Riwaya Kali ya Kusisimua....SIN- Sehemu Ya Saba (07)

Mwandishi- EDDAZARIA G.MSULWA Age-18+ Simu-0657072588(whatsapp) au 0768516188 ILIPOISHIA    “Yaani sijui kwa nini uliaolewa na yule mzee” “Ahaa ni maisha tu. Tumefika baba yangu” Mrs Sanga alizungumza huku akisimamisha gari lake nyuma ya gari la Tomas alilo liacha kwenye maegesho...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger