Monday 20 January 2020

MASHINDANO YA GOFU YA ZANTEL YAFANA JIJINI DAR ES SALAAM

...
Mchezaji wa gofu, Amanda Patric Mlula, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Mchezaji wa gofu, Brigedia Msaafu, Julius Mbilinyi, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Mchezaji wa gofu, Nathan Mpangala, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Mchezaji wa gofu, Ryan Gosling, akipiga mpira wa gofu wakati wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.    Meneja wa Ufundi Mauzo ya Jumla wa Zantel Efrem Akwilini (kulia), akikabidhi zawadi ya simu aina ya SMARTA, kwa Isack Daud,mshindi wa jumla wa mashindano ya wiki ya gofu yaliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Zantel na kufanyika katika viwanja vya TPDF Lugalo Golf Club, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, (katikati mwenye fulana nyekundu ) ni Mwenyekiti wa Chama Cha Gofu nchini,Chriss Martin na Brigedia Generali Kondwani Kalino.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger