Wednesday, 14 August 2019

UPDATES: Majeruhi Wengine 6 ajali ya Moto Morogoro Wafariki Dunia Usiku wa Kuamkia Leo....17 Bado wako ICU

...
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Umma Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aminieli Aligaesha  amesema  Majeruhi 6 kati ya 38 wa ajali ya moto ya mkoani Morogoro ambao walikuwa wakitibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, wamefariki Dunia usiku wa kuamkia  leo hospitalini hapo. 
 
Aminiel amesema Majeruhi waliobaki ni 32 ambapo kati yao  Wagonjwa 17 Wako ICU huku wengine  15 wakiwa Wodi ya Kawaida.


Kwa takwimu hizi mpya zilizotolewa leo, Mpaka sasa idadi ya waliofariki kwenye ajali hiyo  itakuwa imefikia  watu 82.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger