Sunday, 11 August 2019

PICHA: Wananchi Wajitokeza kwa Wingi Kutambua Miili ya Wapendwa Wetu Waliofariki kwa Moto Morogoro

...
Wananchi wamejitokeza kwa katika viwanja vya Shule ya Sekondari ya Morogoro karibu kabisa na chumba cha kihifadhia maiti cha hospitali ya mkoa, ambapo zoezi la kutambua na  kuaga miili  ya waliofariki kwa ajali linafanyika.

Ajali hiyo ilitokea jana Jumamosi Agosti 10, 2019 katika kijiji cha Itigi, Msamvu mkoani Morogoro   baada ya lori la mafuta kupinduka na kuwaka moto muda mfupi baada ya watu kuanza kuchota mafuta.



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger