Rais Magufuli amewatembelea majeruhi waliolazwa hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na ajali ya moto iliyotokana na mlipuko wa mafuta yaliyokuwa yamebebwa kwenye lori la kubeba mafuta lililopata ajali jana mkoani Morogoro.
Tazama hapo chini
Tazama hapo chini
0 comments:
Post a Comment