Saturday, 10 August 2019

Breaking: Lori la Mafuta Laripuka Na Kuua Idadi Kubwa ya Watu Morogoro

...
Idadi kubwa ya Watu wanasadikiwa kufariki Duania  baada ya kuungua na moto kufuatia Lori la mafuta kulipuka eneo la Msamvu mjini Morogoro. 

Watu hao wanadaiwa kuwa walikuwa wakiiba mafuta kwenye Lori hilo ambalo lilipata ajali majira ya saa 1:00 Asubuhi leo Aug 10.

Endelea kuwa nasi kwa habari kamili


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger