Friday, 21 June 2019

Taarifa muhimu kutoka Wizara ya Ardhi

...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi inawatangazia wananchi wote waliopewa viwanja katika eneo la Pemba Mnazi kukamilisha malipo ya viwanja kabla ya Julai 31 2019.

Kwa wananchi ambao watashindwa kukamilisha malipo kwa muda uliotolewa viwanja vyao vitagawiwa kwa waombaji wengine bila taarifa yoyote. 

Tangazo hili pia litawahusu wale waliolipia sehemu ya gharama za umilikishaji lakini hawajakamilisha malipo.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger