Friday 28 June 2019

Atiwa Mbaroni Kwa Kutapeli Milioni 2 kwa kutumia sare za JWTZ

...
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro linawashikilia watuhumiwa 6 kwa makosa tofauti ikiwemo kupatikana kwa sare za Jeshi la Wananchi (JWTZ) na kutumia sare hizo kujipatia pesa kwa njia ya udanganyifu pamoja na unyang’anyi kwa kutumia silaha aina ya Shotgun Magnum Eagle 1 yenye namba 12/76 TS 870.

Kamanda wa Polisi Mkoani humo SACP Wilbroard Mutafungwa amethibitisha kuwepo kwa matukio hayo ambayo yametokea siku na maeneo tofauti.

==>>Tazama hapo chini


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger