Friday, 21 June 2019

SIMBA SC WADONDOSHA MSHAMBULIAJI KUTOKA BRAZIL

...

Klabu ya Simba imetangaza kuingia mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji Wilker da Silva Raia wa Brazil.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa klabu hiyo umemtambulisha mchezaji huyo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la usajili katika klabu hiyo Bingwa Tanzania Bara.

Huyu anakuwa ni mchezaji wa pili Raia wa kigeni kunaswa na Wekundu wa msimbazi baada ya jana kuingia mkataba wa mwaka mmoja na Kiungo Bora Barani Afrika kutoka klabu ya Al Hilal ya Sudan Sharaf Eldin Shiboub Ali
Abdalrahman 


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger