Friday, 21 June 2019

AZAM FC WABADILI GIA ANGANI KWA CHIRWA

...
MSHAMBULIAJI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Obrey Chirwa, ataendelea kuitumikia timu hiyo baada ya kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja.
Mshambuliaji huyo mwenye spidi na mabavu, amefikia makubaliano na Azam FC na kusaini mkataba mpya leo mchana mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat'. 
Chirwa aliyefunga bao muhimu kwa Azam FC msimu uliopita kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports dhidi ya Lipuli, tayari ameanza maandalizi ya msimu mpya na kikosi cha timu hiyo jana.
Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger