Monday 2 November 2015

NAFASI ZA KAZI 640 UHAMIAJI KWA KIDATO CHA NNE NA SITA ,MWISHO WA KUTUMA MAOMBI NOVEMBER 6 2015-SIFA UWE UMEPITA JKT

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari yako,
Uhamiaji wametangaza nafasi za kazi zipatazo 640 kwa wahitimu wa kidato cha SITA na NNE ,Tafadhali tuma Waweza fanikiwa mpe taarifa na mwenzako,

KUSOMA TANGAZO HILO BONYEZA HAPO CHINI,
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anatangaza nafasi za kazi katika Idara ya Uhamiaji. Nafasi hizo ni za Koplo wa Uhamiaji na Konstebo wa Uhamiaji. fuata ukurasa huu kwa maelezo zaidi.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger