Thursday 5 November 2015

Maalim Seif akutana na JK

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika Ikulu ya Rais Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:24 asubuhi na kumaliza saa 5:14. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger