Monday 16 November 2015

Dk. Tulia Kuchukua FOMU ya Kugombea Nafasi ya NAIBU Spika

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Dkt Tulia Ackson amesema ana mpango wa kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, ameongeza kuwa fomu hiyo anaweza kuichukua leo au kesho maana siku ya kurudisha fomu ni kesho
"Nashukuru kwa kuaminiwa na kuteuliwa mbunge, sasa mpango wangu ni kugombea kiti cha Naibu Spika wa Bunge la 11"

EATV 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger