Saturday 8 November 2014

BREAKING NEWZ:UCHAGUZI MKUU TANZANIA FOOD AND NUTRITION STUDENTS ASSOCIATION(TAFONUSA) UMEMALIZIKA NA KUFANIKIWA KUPATA VIONGOZI WAPYA.

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanafunzi wa chuo kikuu cha SOKOINE  departiment ya FOOD SCIENCE AND TECHNOLOGY mapema leo hii wamefanya uchaguzi mkuu ili kupata viongozi watakaoongoza chama hicho mwaka wa 2014/2015.
Katika uchaguzi huo kulikuwa na nafasi tano zilizigombaniwa ambazo ni MWENYEKITI,MAKAMU MWENYEKITI,MWEKA HAZINA NA KATIBU,na kufanikiwa kupata viongozi wapya wafuatao;
HAWA NI BAADHI YA WANAFUNZI WA HN NA FCS KATIKA PICHA YA PAMOJA

MWENYEKITI:MIRUMBE YOHANA
MAKAMU:LUHUWAGO SHADRACK
KATIBU HABARI:MBWAGA,INNOCENT
MWEKA HAZINA:MREMI,JUBILETE
YAFUATAYO NI MATUKIO KATIKA PICHA KWENYE UCHAGUZI WA LEO HII;
PICHA JUU NI BAADHI YA WAJUMBE KATIKA UCHAGUZI WA LEO

BAADHI YA MEMBERS WA TAFONUSA WAKISIKILIZA JAMBO




MEMBERS WA FOOD SCIENCE WAKIWA MAKINI KUFUATILIA UCHAGUZI

PICHA ZOTE NA MASWAYETU BLOG TEAM

Kutoka kushoto ni ISAYA,MBWAGA,MAYALA,NYANDOA NA CR-KATO

HUYU JAMAA ANAITWA BABA MKAPA AKIWA KATIKA POZI NJE YA ENEO LA UCHAGUZI



Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger