Thursday 6 November 2014

BREAKING NEEWZ:SERIKALI YAONGEZA MAJINA MENGINE MENGI YA KIDATO CHA NNE WATAKAOJIUNGA SPECIAL PROGRAMME UDOM 2014/2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
slide5
Habari yenu,chuo kikuu cha dodoma kimetangaza majina ya wanafunzi wengine watakaojiunga na mafunzo ya ualimu special programme udom mwaka wa masomo 2014/2015,hata hivyo zimebaki takribani siku mbili tu vijana hao waanze masomo yao,hivyo basi MASWAYETU BLOG TEAM tunakuomba wape taarifa vijana wote walioombaudom lakini hawakubahatika kupata nafasi hiyo hapo awali kuwa yawezekana wamechaguliwa;
Maswayetu blog tunaendela kutoa huduma ya kuangalizia majina kwa wale wote watakaohitaji kuangaliziwa kama wamechaguliwa kujiunga na chuo hicho katika special programme hiyo,ILI KUANGALIZIWA KAMA UMECHAGULIWA FANYA YAFUATAYO;

1.TUMA JINA LAKO NA EXAMA NAMBA.

2.HUDUMA HII UTATOZWA TSHS.1000 TU AMBAYO
   UTAITUMA KWA MPESA KWENDA NAMBA 0768260834
   AU TIGO PESA KWENDA NAMBA 0653791475

3.TUTAKUJIBU MARA TU TUTAKAPOPOKEA PESA
   YAKO.


KUANGALAIA MAJINA HAYO BONYEZA HAPO CHINI;

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger