Monday 2 August 2021

Manager, Mobile Lending and Analytics at Absa

Manager, Mobile Lending and Analytics    Bring your possibility to life! Define your career with us With over 100 years of rich history and strongly positioned as a local bank with regional and international expertise, a career with our family offers the opportunity to be part of this exciting growth journey, to reset our future […]

This post Manager, Mobile Lending and Analytics at Absa has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

People & Culture intern at Sokowatch

People & Culture intern   Dar Es Salaam, About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services that were previously unavailable. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or […]

This post People & Culture intern at Sokowatch has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Field Sales Manager at Sokowatch

Field sales Manager Mbeya, About Us: Sokowatch is transforming communities across Africa by revolutionizing access to essential goods and services. By connecting small shops to the digital economy, we fix inefficient supply chains and provide services previously unavailable to informal businesses. Sokowatch aims to provide everything a retailer needs, no wholesalers or banks necessary. Thousands […]

This post Field Sales Manager at Sokowatch has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Director of People and Culture at European Management Solutions

Position: Director of People and Culture Duty station: South Africa or one of other country offices in Rwanda, Kenya, Nigeria, Ethiopia, Tanzania Hours: Full-time position; Reporting to: Regional Director of Africa Start date: As soon as possible Travels: Some occasional international travel post COVID-19 Salary package: Competitive salary, plus benefits (medical insurance and annual performance-based bonus). […]

This post Director of People and Culture at European Management Solutions has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

Production Manager at Blue Recruits Limited

Production Manager   Blue Recruits Limited  Dar es Salaam Recruitment Consultant at Blue Recruits Limited We’re looking for a competent and experienced manager. Experience in the meat process industry is a requirement (meat/Poultry/Abattoir/Processed meat factory/food manufacturing, storage or handling industry etc.) Will be overseeing the day-to-day operations at food processing to ensure optimal product quality […]

This post Production Manager at Blue Recruits Limited has been posted by Udahiliportaldaily

Get more post by visiting Udahiliportal.com

know more details about Udahiliportal.com by visiting Udahiliportal.com - Find Jobs & Ajira mpya leo, ajira portal Tanzania, ajira yako, brighter Monday, mabumbe, mwananchi ajira, secretariet ya ajira, tamisemi ajira za afya, wizara ya afya, ajira Tanzania - selection za vyuo , selection, second selection vyuo, second selection, tamisemi selection, selection form one 2020/2021

This this content has been copied from udahiliportal.com , please kindly visit Udahiliportalto access full original content content or click here for more details

 

Share:

HAWA NDIYO WAKURUGENZI WAPYA WA HALMASHAURI SHINYANGA...MKRISTO ATUA MANISPAA YA SHINYANGA, MSUMBA ABAKI KAHAMA


Aliyesimama ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Anderson David Msumba
 ***
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendji wa Halmashauri za Jiji, Miji, Manispaa na Wilaya ambapo kwa upande wa Mkoa wa Shinyanga amemteua Nice Remen Munissy kuwa Mkurugenzi wa wilaya ya Shinyanga, Charles Edward Fussi wilaya ya Msalala akichukua nafasi ya Simon Berege aliyepelekwa wilaya ya Maswa, Lino Pius Mwageni wilaya ya Ushetu, Jomary Mkristo Satura Manispaa ya Shinyanga huku akimbakiza  Emmanuel Johnson Matinyi katika wilaya ya Kishapu na Anderson Msumba katika Manispaa ya Kahama.
Share:

RAIS SAMIA ATEUA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI....TAZAMA MAJINA YOTE HAPA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassani






 

Share:

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA SHUWASA AKIFUNGA MAONESHO SHINYANGA


Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu huduma zinazotolewa na SHUWAS alipotembelea Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021 . Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) Mhandisi Yusuph Katopola akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu huduma zinazotolewa na SHUWAS alipotembelea Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021 .
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akizungumza kwenye Banda la SHUWASA akifunga Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga leo Jumapili Agosti 1,2021.

Soma pia:
Share:

Sunday 1 August 2021

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU AGOSTI 2,2021



Share:

MABINTI WA RAFIKI SDO WASHIRIKI MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA..WAONESHA BIDHAA ZAO

Afisa Mabinti wa Shirika la Rafiki SDO, Maria Kamage (kushoto) na Mabinti wakionesha bidhaa wanazozalisha kwenye Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga.

Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Shirika la Rafiki SDO limeshiriki Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga yaliyofungwa leo  Jumapili Agosti 1,2021 na Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kwa kuonesha na kuuza bidhaa zinazotengenezwa na Mabinti wanaofadhiliwa na shirika hilo kwa lengo kuwainua kiuchumi.

Afisa Mabinti wa Shirika la Rafiki SDO, Maria Kamage amesema wanawasaidia mabinti kujikwamua kiuchumi kwa kuwapa elimu za ujasiriamali, akiba na uchumi ambayo inawawezesha kupitia hizo akiba kupata mikopo katika vikundi vyao kuanzisha biashara zao binafsi na kuwafanya wasiwe wategemezi na kuwaepusha na vishawishi na kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Mabinti kutoka Rafiki SDO wakionesha bidhaa wanazozalisha kwenye Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga.
Afisa Mabinti wa Shirika la Rafiki SDO, Maria Kamage (kushoto) akiwa banda la Rafiki SDO kwenye Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga.

Wananchi wakiangalia bidhaa zinazozalishwa na mabinti katika banda la Rafiki SDO kwenye Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga.

Soma pia :

Picha : BITEKO AFUNGA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA....ATANGAZA KUZINGUA WALIOSHIKILIA LESENI ZA UCHIMBAJI

Share:

BENKI YA TCB YASHIKA NAFASI YA PILI TAASISI ZA FEDHA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA


Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akimkabidhi Meneja wa Benki ya Biashara ya Tanzania (Tanzania Commercial Bank- TCB PLC) Tawi la Shinyanga Julius Mataso (kulia) Cheti cha Ushindi ambapo Benki ya TCB (zamani ikiitwa Benki ya TPB) imeshika nafasi ya Pili katika kundi la Taasisi za Fedha katika Maonesho ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga yalifungwa leo Jumapili Agosti 1,2021 katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Share:

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA NBC AKIFUNGA MAONESHO SHINYANGA

Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.

Soma pia:
Share:

WAZIRI WA MADINI DOTO BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA NMB MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA


Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NMB tawi la Manonga, Sebastian Kayaga huduma zinazotolewa katika Benki ya NMB ikiwemo Mikopo kwa wachimbaji wa madini leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Kulia ni Meneja wa Benki ya NMB tawi la Manonga, Sebastian Kayaga akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko huduma zinazotolewa na Benki ya NMB alipotembelea banda la NMB kwenye Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga.
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akizungumza kwenye banda la benki ya NMB leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.

Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Share:

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA SHINYANGA BEST IRON MAONESHO SHINYANGA


Mkurugenzi wa Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron, Kashi Salula (kulia) akimwelezea Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko kuhusu changamoto ya umeme inayowakabili wachimbaji wadogo ambapo aliishukuru serikali kwa kupeleka umeme maeneo ya machimbo lakini umeme huo hauna nguvu ya kuwasha mitambo hivyo akaomba changamoto hiyo itatuliwe.

Waziri Biteko ametembelea Banda la Shinyanga Best Iron wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (katikati) akiangalia shughuli za uchimbaji na uchenjuaji madini ya dhahabu katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiangalia shughuli za uchimbaji na uchenjuaji madini ya dhahabu katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akiwa katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron



Share:

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK AKIFUNGA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA

Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akisikiliza maelezo kuhusu shughuli zinazofanywa na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga . Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiwa katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiwa katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akizungumza katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger