Sunday 1 August 2021

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BARRICK AKIFUNGA MAONESHO YA BIASHARA NA TEKNOLOJIA YA MADINI SHINYANGA

...
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akisikiliza maelezo kuhusu shughuli zinazofanywa na Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga . Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiwa katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiwa katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akizungumza katika banda la Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Dhahabu ya Barrick kupitia migodi yake ya Buzwagi na Bulyanhulu leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger