Waziri Biteko ametembelea Banda la Shinyanga Best Iron wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (katikati) akiangalia shughuli za uchimbaji na uchenjuaji madini ya dhahabu katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kulia) akiangalia shughuli za uchimbaji na uchenjuaji madini ya dhahabu katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko akiwa katika banda la Kampuni ya Uundaji wa Vifaa vya Uchimbaji na Uchenjuaji Madini ya Shinyanga Best Iron
0 comments:
Post a Comment