Wednesday 10 April 2024

KILA MWANAMKE NIKIZAA NAYE ANAPOTEA!

...
Jina langu ni Samson, nilikuja Mwanza, Tanzania kutokea kijijini kupambania maisha, nashukuru mambo yalienda vivuri tu, kazi nilipata na fedha pia nilipata, sio haba kusema kweli.

Kama unavyojua tena jiji la Mwanza wanawake warembo kila kona, ni kama nilikua na ngekewa kila nilipotupa ndoano ilinasa, kusema kweli nilijichanganya nilitembea na kila aina ya mwanamke niliyemtamani.

Basi katika haya mahangaiko nilikutana na dada mmoja wa Kigoma na kuanzisha naye uhusiano, huyu dada alikuja kunieleza amepata mjamzito, baada ya muda akawa ameenda kwao Kigoma kwa ajili ya kujifungua.

Nilikuwa nikituma matumizi ila ilifika mahali mawasiliano yalikufa, sikumpata tena hewani, maisha yaliendelea nikakutana tena na mwanamke kutoka Arusha, kusema kweli huyu naye mapenzi yakanoga.

Mwisho wa siku na yeye akapata ujauzito, alirudi kwao Arusha, tulikubaliana baada ya yeye kujifungua atarejea tuendelee kuishi maisha yetu, lakini cha kushangaza naye mawasiliano yalikatika ghafla nikawa simpati katika simu.

Ilipita zaidi miaka mitano hakuna mwanamke hata mmoja kati ya wale wawili aliyenitafuta, sikuwahi kubadili namba ya simu useme kuwa walinitafuta nikawa sipatikani hewani.

Roho ilikuwa inaniuma sana kwani nilitaka kuwaona sana watoto wangu, ndipo nikaanza kutafuta tiba wa waganga wa kienyeji maana nilijua kuna jambo ambalo halipo sawa kwa upande wangu, kuna mtu atakuwa ananichezea mchezo.

Mwisho wa siku nilikutana na Kiwanga Doctors kupitia mitandao ya kijamii, nilichukua namba yake (+254 769 404965) na kumpigia na kumueleza tatizo langu, aliniuliza maswali machache kuhusu familia yangu na ndipo akanifanyia tiba yake.

Nashukuru baada ya muda mfupi niliweza kuja kupata mawasiliano ya wale wanawake wote ambao nilizaa nao, yule wa kwanza tayari alikuwa ameolewa na ana mtoto wapili, mimi nilichofurahi ni kuiona tu damu yangu.

Huyu mwanamke wa pili ndiye nilikuja kumuoa na sasa tunaishi kama mume na mke.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Mwisho.

 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger