Sunday 1 August 2021

WAZIRI BITEKO ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA NBC AKIFUNGA MAONESHO SHINYANGA

...
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga
Waziri wa Madini Mhe. Doto Biteko (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Benki ya NBC tawi la Shinyanga, Joyce Chagonja kuhusu huduma zinazotolewa katika Benki ya NBC ikiwemo Mikopo kwa wafanyabiashara leo Jumapili Agosti 1,2021 wakati akifunga Maonesho ya Pili ya Biashara na Teknolojia ya Madini Mkoa wa Shinyanga katika uwanja wa Zainab Telack Butulwa kata ya Old Shinyanga Manispaa ya Shinyanga.

Soma pia:
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger