INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kushoto ni gari ndogo aina ya Range Rover ambayo iligongwa na Daladala (kulia) iliyosababisha ajali hiyo
Saturday, 21 June 2014
"MOTO MKUBWA WATOKEA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM)", WANAFUNZI WAKOSA AMANI ONA MTUKIO YOTE HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Moto uhuu umezuka karibu na hostel za
mabinti katika skuli ya sanaa na lugha (humanities), chanzo cha moto huo
hakijajulikana mpaka sasa..... tutakujuza kadri taarifa zitavyozidi
kutolewa.
VICKY KAMATA AFUNGUKA,AFANYIWA SHEREHE KUBWA SOMA HAPA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
BAADA ya kimya kirefu tangu ndoa iliyopagwa kufungwa kati yake na Charles Pai kuyeyuka, Mbunge wa Viti Maalum (CCM) anayewakilisha vijana Mkoa wa Geita, Vicky Kamata ameibuka na kufunguka mambo mengi lakini kubwa ni kwamba, amefanyiwa sherehe.
MCHUNGAJI AFUNGUKA NI KUHUSU FLORA MBASHA NA MUMEWE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mbasha akiwa na Pingu.
WAKATI mume
wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha akiachiwa huru
kwa dhamana kufuatia kesi ya kudaiwa kumbaka shemejiye, Mchungaji wa
Kanisa la Ufufuo na Uzima la jijini Dar es Salaam, Josephat Gwajima
ameibuka na kunena mazito kuhusiana na sakata hilo, Risasi Jumamosi
limesheheni mkobani.Friday, 20 June 2014
BREAKING NEWZ:ST.JOSEPH UNIVERSITY TAWI LA ARUSHA WAGOMA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA GHO KIKUU ARUSHA WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.
HABARI ZILIZOTUFIKIA HIVI PUNDE NI KWAMBA WANAFUNZI WA GHO KIKUU ARUSHA WAMEGOMA KUINGIA DARASANI KWA SABABU YA KUTOKUWA NA FEDHA YA KULA.
CHEKI FUMANIZI HILI NI KIBOKO
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
KABAANG! Mume aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha,
mkazi wa Mabibo jijini Dar, amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira
akiwa chumbani na mkewe Jack wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.
"SHILOLE" ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga.
MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga.
TUMWONE HURUMA:WAKIMBIWA NA MUME WAKE KISA UGONJWA WA SARATANI
INASIKITISHA! Mama
mmoja mkazi Karagwe mkoani Kagera, Josephine
Domisian (34) ametelekezwa na mumewe aitwaye Dominic baada ya kupatwa
na ugonjwa wa saratani ya kizazi miaka mitatu iliyopita.
Akizungumza
kwa uchungu akiwa katika hospitali ya magonjwa ya Saratani ya
Ocean Road, jijini Dar mama huyo alisema awali mumewe alikuwa akimnyanyapaa
kwa kumnyima msaada hata wa chakula, hali iliyosababisha wanakijiji wenzake
kumsaidia fedha za usafiri wa kumpeleka Dar kwa ajili ya matibabu. “Nilisaidiwa
kiasi cha shilingi 150,000 na kufanikiwa kufika hospitalini. Kule nilimuacha mume
wangu na wanangu wanne, lakini nimepewa taarifa kwamba mume wangu
amewaacha watoto, sasa wanalelewa na majirani na yeye ameoa mke mwingine.
Domisian (34) ametelekezwa na mumewe aitwaye Dominic baada ya kupatwa
na ugonjwa wa saratani ya kizazi miaka mitatu iliyopita.
Ocean Road, jijini Dar mama huyo alisema awali mumewe alikuwa akimnyanyapaa
kwa kumnyima msaada hata wa chakula, hali iliyosababisha wanakijiji wenzake
kumsaidia fedha za usafiri wa kumpeleka Dar kwa ajili ya matibabu. “Nilisaidiwa
kiasi cha shilingi 150,000 na kufanikiwa kufika hospitalini. Kule nilimuacha mume
wangu na wanangu wanne, lakini nimepewa taarifa kwamba mume wangu
amewaacha watoto, sasa wanalelewa na majirani na yeye ameoa mke mwingine.
FUMANIZI:AIBU MUME AMFUMA MKE WAKE AKILIWA URODA NA RAFIKI YAKE
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mume
aliyejulikana kwa jina moja la Ngosha, mkazi wa Mabibo jijini Dar,
amemfumania rafiki yake aitwaye Jazira akiwa chumbani na mkewe Jack
wakiivunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu.Tukio
hilo lilitokea Jumanne iliyopita saa 12 alfajiri ambapo ilidaiwa kuwa
Jack alikuwa chumbani na mwanaume huyo ambaye ni mpangaji, wenzake
wakipeana maraha.
Imedaiwa
kuwa, wawili hao walikuwa wakimtegea Ngosha akitoka kwenda katika
shughuli zake, Jazira alikuwa akizama katika chumba cha rafiki yake na
kufanya mchezo wa kikubwa.
MWANAFUNZI ATUHUMIWA KUMBAKA MTOTO WA KAKA YAKE HADI KUMVUNJA MGUU MKOANI MARA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JOSE MOURINHO :"AMWAGA MACHOZI AKIFANYA ZIARA AFRIKA", ASEMA FAINI ANAZOTOZWA NA FA ZISAIDIE WENYE NJAA NA MAGONJWA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Muangalizi:
Jose Mourinho (kulia) amekuwa akiwatembelea watoto wanaosumbuliwa na
njaa pamoja na wagongwa wa UKIMWI nchini Ivory Coast akiwa kama balozi
wa Mpango wa Chakula Duniani.
AJALI MBAYA YATOKEA KATIKA DARAJA LA MTO NDURUMA, JIJINI ARUSHA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
![]() |
| Scania mbili zilizogongana na fuso katika daraja la mto Nduruma |
NEC: KUBORESHA DAFTARI LA WAPIGA KURA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Jaji
Mstaafu Damian Lubuva (kushoto) akifafanua jambo kwa wahariri wa vyombo
vya habari (hawapo pichani) wakati wa semina kwa wahariri wa vyombo vya
habari juu ya maandalizi ya uandikishaji wapiga kura nchini, kulia ni
Mkurugenzi wa uchaguzi toka Tume ya Taifa ya Uchaguzi Bw. Julius
Mallaba.

Baadhi ya wahariri wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi
MH RAIS KIKWETE AKABIDHI BODABODA 10 ARUSHA
Mahmoud Ahmad Arusha
RAIS wa
jamhuri ya muungano waTanzania, Dakta,Jakaya Kikwete,jana alikabidhi
msaada wa Pikipiki10 kwa chama cha Akiba na Mikopo cha Waendesha
Pikipikikatika jiji la Arusha,UWAPA SACCOS, zenye thamani ya shilingi
milioni 15.9.
AJALI YA BASI LA NEW FORCE , WATEMBEA KWA MIGUU WAWILI WAFARIKI NA WENGINE KUJERUHIWA
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro Muda akiwa katika eneo la Ajali Jana




