Tuesday 25 October 2016

YANGA Yamleta Kocha Mpya Kisiri na Kumsainisha Mkataba wa Miaka Miwili

...


DAR: Kocha Mzambia aliyekuwa akiinoa Klabu ya Zesco United ya Zambia, George Lwandamina amesaini mkataba wa miaka 2 wa kuifundisha Klabu ya Yanga.

Kocha huyo alitua jijini Dar kwa usiri huku uongozi wa Yanga ukimficha kwa kile kilichotajwa kutotaka kuivuruga timu ambayo imerejea kwenye kiwango chake.

Inadaiwa pia Yanga huenda ikalifumua benchi kote la ufundi la sasa.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger