Friday 29 August 2014

BREAKING NEWZ:ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WAPYA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA/UUGUZI 2014-2015

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari zenu wadau wapendwa wa blog hii pendwa ya MASWAYETU EXCLUSIVE BLOGSPOT Leo tunawaletea majina mapya ya wanafunzi  waliochaguliwa kujiunga na vyuo vya afya milembe na maramba tanga kwa mwaka wa masomo 2014/2015;hii inwahusu wale wote mlioomba vyuo vya afya 2014/15.
Kama ilivyo utaratibu wetu tunaenedelea kutoa huduma ya kuangalizia majina endapo utataka kuangaliziwa jina lako,unachotakiwa kufanya ni ;
Tuma jina lako kamili katika form ifuatayo Mfano. JOHN PAUL(AFYA).
Tafadhali huduma hii itakukugharimu tshs.400 ambayo itakubidi uitume kwa MPESA kwenda namba 0768260834.
NOTE:TUTAJIBU SMS YAKO MARA BAADA YA KUKOCONFIRM JINA LAKO LIPO AU HALIPO MDA MFUPI BAADA YA KUTUMA SMS YAKO.
-SMS ZOTE LAZIMA ZIJIBIWE.
-kwa watumiaji wa airtel,tigo,smart,ttcl na zantel itakubidi utume namba za vocha ya 500..kama huna MPESA.
-HATUTAJIBU SMS YA MTU YOYOTE KAMA HUTATUMA PESA YA HUDUMA THANKS.

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA VYUO VYA AFYA/UUGUZI 2014/2015
MPE TAARIFA NA MWENZAKO.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger