Saturday 5 March 2016

BONYEZA HAPA KUFANYA APPLICATION(APPLY) KOZI ZA AFYA NA UALIMU CHETI /DIPLOMA 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
 
Share:

KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
BARAZA LA TAIFA LA ELIMU YA UFUNDI
(NACTE)
TAARIFA KWA UMMA

KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), linapenda kuutangazia Umma na wadau wote wa Elimu nchini, kuwa mfumo wa Udahili wa pamoja yani Online Central Admission System (CAS), umefunguliwa rasmi tarehe 4 Machi, 2016, saa 6 mchana, kwa kupokea maombi kwa mwaombaji katika kozi mbalimbali, ikiwemo ngazi ya, Astashahada, Stashahada na Shahada kwa mwaka wa masomo 2016/17. Mfumo utajumuisha kozi zifuatazo;
1. Astashahada na Stashahada
2. Shahada za Elimu ya Juu

Mwombaji wa Astashahada na Stashahada anaweza kuomba kwa ajili ya eneo moja au zaidi katika maeneo ya taaluma yafuatayo;
1. Biashara na Utalii, mfano; Uhasibu, Meneja rasilimali watu, Wanyama pori, Mipango.
2. Sayansi shirikishi, mfano; Kilimo, Uhandisi, Mifumo ya mawasiliano, Usanifu majengo, Mifugo.
3. Afya, mfano; Uganga, Maabara, Ufamasia, Uuguzi

Ada ya maombi ni kama ifuatavyo;
1. Kwa eneo la Afya ada ya maombi ni Tshs 30,000/=.
2. Kwa eneo moja kati ya maeneo mengine yaliyobaki, ada ni Tshs 20,000/=
3. Kwa zaidi ya eneo moja la taaluma, mfano; Afya pamoja na Ualimu, ada ni Tshs 30,000/=, muombaji anaruhusiwa kuchagua maeneo yote.
4. Kwa waombaji wa Shahada za Elimu ya juu, ada ya maombi ni Tshs 50,000/=

Mwisho wa kutuma maombi haya ni tarehe 31/05/2016.

Imetolewa na: 
Baraza la Taifa la Elimu yaUfundi
4 Machi, 2016

Share:

TANZIA:MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA NDG.KAGENZI AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
[​IMG]
Kafariki jana usiku ikiwa ni masaa machache tu yamebaki Majaliwa amtembelee akiwa ziarani Simiyu.
Sababu kubwa ni pressure ,wakati anakimbizwa bugando akafariki dunia.
R I P MKUU ,innocent the blogger boy naheshimu mchango wako ktk wilaya yangu ya MASWA.

MASWAYETU BLOG TEAM TUPO PAMOJA NANYI KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU
Share:

New AUDIO | Linah x Khadja Nito - Malkia Wa Nguvu | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/iw18t99da39c/Linah_x_Khadja_Nito_-_Malkia_Wa_Nguvu.mp3?d=1
Share:

Friday 4 March 2016

HIZI NDIO SIFA ZA KUJIUNGA NA VYUO VYA AFYA CHETI NA DIPLOMA 2016/17

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

For applicants who are applying for Technician Certificate,Ordinary Diploma or Advanced Diploma should read the guide book. Click on the button to download the guide book
Share:

FANYA APPLICATION SASA KUPITIA NACTE KOZI ZA AFYA,UALIMU,BIASHARA MWISHO NI TARE 31/05/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Welcome to Cental Admission System for Non Universities and Universities in Tanzania
The System allows you to apply for Admission into Further and Higher Education for academic year 2016/2017.
Available Application Categories:-
  • - Admission into Certificate/Diploma and Higher Diploma
    • Business, Tourism And Planning Deadline 30/06/2016
    • Health And Allied Sciences Deadline 31/05/2016
    • Science And Allied Technologies Deadline 31/05/2016
    • Teaching And Learning Facilitation Deadline 31/05/2016
  • - Admission into Bachelor Degree Programmes Deadline 31/05/2016
IMPORTANT NOTES:
Your Advised to pick the best category of your choice according to prior qualification holding, because you can only apply once and choose one category.
To proceed with the this application you must have the following
  • 1. Valid and Working Email Address
  • 2. Valid Phone Number
  • 3. Payment Mpesa Confirmation Code
Read Guide Book:
To know exact requirement of programmes you wish to apply, it is recommended to carefully read admission guidebook. Click here to download.
APPLICATION FEE (Non refundable): Application fee for this year are as in following categories:-
  • - Certificate/Diploma And Higher Diploma
    • Business, Tourism And Planning TShs 20,000/=
    • Health And Allied Sciences TShs 30,000/=
    • Science And Allied Technologies TShs 20,000/=
    • Teaching And Learning Facilitation TShs 20,000/=
  • - Bachelor Degree - TShs 50,000/=
Which shall be paid through M-PESA using the following menu:- Note: Payment Instructions: Please follow the steps below to pay through M-Pesa:
  • 1. Dial *150*00#
  • 2. Select 4. Payments
  • 3. Select 4. Enter business number
  • 4. Enter the business number (607070)
  • 5. Enter reference No. (1234)
  • 6. Enter Amount (e.g 50,000/=)
  • 7. Enter PIN
  • 8. Press 1 to Confirm:
After confirmation you will receive a message from Vodacom (e.g. "BA54KP432 Confirmed. Tshs. 50,000 sent to business NACTE for account 1234 on 14/4/14 at 2:33 PM New M-Pesa balance is Tsh 200").
*Use the confirmation code at the beginning of the message to enter on payment details text box (BA54KP432).
NB: All applicants are advised to keep in safe place their confirmation number for M-PESA payment for future reference and payment confirmation. Applicants are advised to read carefully the admission requirements of each programme they anticipate to apply in the guidebook before finalizing the application process in order to avoid problems that may arise due to failure to follow appropriate instructions.
REGISTRATION: To apply for mentioned category you must be registered to CAS follow the below link to proceed.
  • If this is your first time click here to start your application.
  • If you are already registered please click here
Share:

Waziri Jenista Mhagama Amteua Dr. Wangwe Kuwa Kaimu Mkurugenzi wa NSSF,Hata Hivyo Uteuzi Huo UMETENGULIWA Mpaka Utakapotangazwa Tena

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe akifafanua jambo kwa wajumbe wa bodi wa shirika hilo (hawapo pichani ) kabla ya uteuzi huo kutenguliwa.

Masaa  kadhaa baada  ya  uteuzi huo, Waziri mhagama alitangaza  kutengua uteuzi huo kwa madai kwamba kuna baadhi ya taratibu hazijamilika
Share:

MAGAZETI YA LEO IJUMAA MARCH 04 2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

Thursday 3 March 2016

ANGALIA HAPA SIFA ZA KUJIUNGA VYUO VYA AFYA-CHETI NA DIPLOMA 2016/2017

Share:

Kamishina Marijani asema hawatakuwa na muhali na wahalifu.

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kamishina wa Polisi  Operesheni na Mafunzo,  Nsato Marijani akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa mkutano makao makuu Jeshi ya Jeshi la Polisi.
 Fungua hapa kupata TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 03/03/2016
Share:

Wanasheria Waaswa Kutumia Taaluma ili Kulinda Maslahi ya Waajiri wao

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wanasheria waaswa kutumia taaluma kulinda maslahi waajiri wao
Mkuu wa wilaya ya Nzega Bi. Jackline Liana amewataka Wanasheria wanapokuwa wakisimamia mashauri mbalimbali kutumia taaluma zao na kuweka weledi wa kutosha ili kulinda maslahi ya waajiri wao.
Akifungua kikao kazi cha Wanasheria wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kilichofanyika katika ukumbi wa Chama Cha Walimu Nzega tarehe 18 Februari,2016, Bi. Liana aliwaasa Wanasheria kuacha kuuza kesi kwani alisema kufanya hivyo ni kuwaumiza wananchi. Bi. Liana aliwataka wanasheria kuwa wazalendo zaidi kwa kujitoa na kujitolea wakati wanaposimamia mashauri mahakamani pamoja na kusimamia ipasavyo mikataba na kujiepusha na rushwa.
Aidha, Mkuu wa Wilaya aliwataka wanasheria kujiepusha na migongano ya kisheria kwakuwa wengi wao ni mawakili wa kujitegemea na kutambua kuwa wana wajibu mkubwa wa kulinda maslahi ya waajiri wao. Mafunzo hayo yalihudhuriwa na Wanasheria kutoka Halmashauri za Mji/Wilaya za Urambo,Tabora,Nzega,Uyui,Mkoa wa Tabora, Nzega, Sikonge, Igunga na Kaliua.
Share:

Waziri Jenister Mhagama kafanya maamuzi NSSF usiku huu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Jenister Mhagama ametengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe uliotangazwa leo Dar es salaam.
Taarifa iliyotolewa usiku huu imeeleza kuwa uteuzi huo umetenguliwa kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya taratibu, uteuzi mpya kwa mujibu wa mamlaka na sheria utakapofanyika taarifa zitatolewa kwa wananchi
Share:

NACTE YAPATA MWAROBAINI KWA VYUO AMBAVYO HAVIJASAJILIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Udanganyifu katika udahili wa wanafunzi kwenye vyuo ambayo havijasajiliwa kuanza kudhibitiwa, baada ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (Nacte) kuzindua mfumo wa udahili wa pamoja (CAS) kwa mwaka wa masomo 2016/17.

Hayo yameelezwa leo na Kaimu Katibu Mtendaji wa Nacte, Dk Adolf Rutayuga na kusema mfumo huo utaanza kutumika kesho saa 6.00 mchana.

Dk Rutayuga amesema mfumo huo utatumika kuratibu maombi ya kujiunga na mafunzo ya astashahada, stashahada na shahada ya kwanza kwa kozi zote zinazotolewa na vyuo vikuu na taasisi zote za elimu nchini, tofauti na ilivyokuwa awali.

Amebainisha kuwa Serikali imeamua maombi yote ya udahili kwa ajili ya mafunzo ya ngazi hizo yafanywe kupitia mfumo huo.

Kaimu Katibu huyo alisema mfumo huo wa i utafanyika kwa utaratibu unaotambulika.

“Mfumo huu utatumika kudhibiti udanganyifu katika udahili na kugundua baadhi ya waombaji wanaotumia vyeti vya bandia,” amesema.

Amesema mfumo huo utaiwezesha Serikali kuwa na takwimu sahihi za waombaji kwa ajili ya kufanikisha mipango ya elimu nchini na waombaji kujiunga na mafunzo kwenye taasisi zinazotambuliwa na Serikali peke yake.

Vilevile, Dk Rutayuga amesema mfumo wa CAS utawapunguzia waombaji gharama za kuomba udahili katika vyuo mbalimbali, kuondoa uwezekano wa mtu mmoja kudahiliwa zaidi ya mara moja, hivyo kuwanyima wenzake nafasi.

Ofisa Mafunzo ya Kompyuta wa Nacte, Daud Mabena amesema waombaji wanatakiwa kutembelea tovuti ya baraza ambayo ni www.nacte.go.tz na kufuata maelekezo ya udahili.

Gharama ya kutuma maombi kwa kozi moja ni Sh20,000 na zaidi ya moja Sh30,000. 
Share:

MPYA:NACTE YAFUNGUA APPLICATION ZA CHETI,DIPLOMA NA DIGRII KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017 .

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kaimu Katibu Mkuu wa  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dk. Adolf Rutayuga, (Kulia) akisisitiza jambo wakati alipokuwa ikitangaza wa kuzindua Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza kwa mwaka wa masomo wa 2016/17. Mfumu huo, utatumika kuratibu maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada (Cheti), Stashahada (Diploma) na Shahada ya kwanza (“Bachelor Degree)   Katikati ni Mkurugenzi Udhibiti Ubora Rasmalimali watu , Edmund Kinwasi na Kaimu Mkurugenzi  Idara ya  Ufuatiliaji  Tathimini na Uthibiti wa baraza hilo , Christina Kumwenda. Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam.
 Kaimu Katibu Mkuu wa  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dk .Adolf Rutayuga,  akipofya kitufe cha komputa  kuashiria Uzinduzi  rasmi wa Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza kwa mwaka wa masomo wa 2016/17. Mfumu huo, utatumika kuratibu maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada (Cheti), Stashahada (Diploma) na Shahada ya kwanza (“Bachelor Degree)  wanaoshuhudia kutoka kulia ni Kaimu Mkurugenzi  Idara ya  Ufuatiliaji  ,Tathimini na Uthibiti ,Christina Kumwenda,  Mkurugenzi  udhibiti  ubora  rasmalimali watu Edmund Kinwas, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Vyuo ushauri na Mipango Alfred Kilasi,Mkurugenzi Mafunzo na Upimaji Bakari Issa (kushoto) na  Afisa Mifumo ya Kompyuta wa baraza hilo , Daud Mabena.Uzinduzi huo umefanyika leo jijini Dar es Salaam.

 Kaimu Katibu Mkuu wa  Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) Dkt .Adolf Rutayuga(Kushoto) akifafanua jambo  kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam ( hawapo pichani) kuhusiana na Uzinduzi  wa Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza kwa mwaka wa masomo wa 2016/17. Mfumu huo utatumika kuratibu maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada (Cheti), Stashahada (Diploma) na Shahada ya kwanza (“Bachelor Degree)    wapili kushoto ni   Mkuu wa Kitengo cha Udahili Seremani Majindo, Mkurugenzi wa Mfumo na Upimaji,Bakari Issa  na  Kaimu Mkurugenzi Idara ya vyuo na ushauri na Mipango.Uzinduzi huo ulifanyika leo jijini Dar es Salaam 
BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), limetangaza ufunguzi rasmi wa Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)) kwa mafunzo yanayoratibiwa na Baraza kwa mwaka wa masomo wa 2016/17. Mfumu huo, utatumika kuratibu maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada (Cheti), Stashahada (Diploma) na Shahada ya kwanza (“Bachelor Degree”).

Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Maelekezo na Msaada kwa Taasisi wa NACTE, Dk. Adolf Rutayuga amesema kuwa, kwa mwaka wa masomo wa 2015/16, Baraza liliratibu udahili wa wanafunzi katika vyuo mbali mbali kwa kozi za astashahada (Cheti) na stashahada (Diploma) kwa mafunzo ya afya na ualimu yaliyoidhinishwa na Baraza. ameongeza kuwa, Baraza pia  lilishirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania, kuratibu udahili wa wanafunzi katika vyuo mbali mbali kwa kozi za shahada ya kwanza kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (Central Admission System (CAS)).

“Mifumo hii miwili ilifanyika kwa ufanisi mkubwa na uliwawezesha  waombaji kudahiliwa. Mifumo hii ya udahili imekuwa na mafanikio yafuatayo: Kudhibiti udanganyifu katika udahili uliotokana na baadhi ya waombaji kutumia vyeti vya bandia, kuwapunguzia waombaji gharama za kuomba udahili katika vyuo mbalimbali, kuondoa uwezekano wa mwombaji udahili mmoja kudahiliwa zaidi ya mara moja na kuwanyima waombaji wengine nafasi, kuiwezesha serikali kuwa na takwimu sahihi za waombaji udahili kwa ajili ya kufanikisha mipango ya elimu nchini, na kuwawezesha waombaji udahili kujiunga na mafunzo kwenye taasisi zinazotambuliwa na Serikali,” alieleza.

Dk Rutayuga alieleza kuwa, kwa kutambua mafanikio ya udahili wa pamoja  yaliyopatikana,  Serikali ya kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, imeamua kuwa maombi yote ya udahili kwa ajili ya mafunzo ya Astashahada (Cheti), Stashahada (Diploma) na Shahada ya kwanza (Bachelor Degree) yafanywe kupitia kwenye Mfumo wa Pamoja wa Udahili (CAS). 
Amefafanua kwamba. Baraza linautangazia umma kuwa, kuanzia mwaka wa masomo 2016/2017 udahili wa kozi zote nchini utafanywa kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja (CAS) unaosimamiwa na NACTE, Vyuo Vikuu  na taasisi za Elimu zote nchini Tanzania zinazotoa mafunzo ya Cheti na Diploma kutodahili wanafunzi nje ya mfumo wa udahili wa Pamoja kuanzia mwaka wa masomo 2016/17.

“Tunapenda kutoa taarifa pia kuwa, maombi ya kujiunga na kozi za Cheti na Diploma yataanza kupokelewa rasmi kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja kuanzia tarehe 4 Machi 2016, saa sita mchana. Baraza pia litaanza kupokea rasmi maombi ya kujiunga na kozi za Shahada (Degree) kwa wahitimu wenye Diploma kupitia Mfumo wa Udahili wa Pamoja kuanzia tarehe 4 Machi 2016, saa sita mchana,” 
Kwa maelezo zaidi ya jinsi ya kuomba mafunzo kwa kutumia Mfumo wa Pamoja wa Udahili (CAS), alisema Baraza linashauri waombaji watembelee tovuti ya Baraza ambayo ni www.nacte.go.tz
Share:

TANGAZA NA MASWAYETU BLOG UFAIDIKE NA BIASHARA YAKO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari zenu,
Kwanza kabisa nipende kuwapongeza wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU BLOG  kwa kuendelea kuwa pamoja katika kuendeleza upatikanaji wa habari mbalimbali.

Hadi sasa Maswayetu blog idadi ya FOLLOWERS wapatao  MIL 4300000.
Ina pageviewers hadi 40000 kwa siku moja.

Tunakuomba ewe mdau wetu kutangaza biashara yako kwenye blog yetu,tuna uhakika utafanikiwa kwani blog yetu inafikiwa na watu wengi zaidi.

Kama unatangazo lolote lile,tafadhali wasiliana na uongozi wa MASWAYETU BLOG kwa kupiga simu namba 

+255652740927 
+255768260834
Karibuni saana!
Share:

New AUDIO | Raymond TipTop - Natafuta | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
http://old.hulkshare.com/dl/plup2j670oao/Raymond_TipTop_-_Natafuta.mp3?d=1
Share:

Dr Slaa Afunga Ndoa na Josephine Mushumbusi Ughaibuni

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Hatimaye aliyekuwa Katibu mkuu wa Chadema Dr Wilbroad Slaa amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Josephine Mushumbusi.
Wawili hao walifunga ndoa nchini Canada jana katika kanisa  moja, lakini  habari zinaeleza si kanisa Katoliki ambalo Dr Slaa aliwahi kuwa Padri kwa kipindi cha miaka 20 iliyopita. 
Ndoa hiyo imetimiza ndoto za muda mrefu  za Dr Slaa ambaye mwaka 2010 aliyekuwa mume wa Mushumbusi alikimbilia mahakamani  akidai bado anamtambua Josephine  kuwa ni mke wake wake halali.
Mume huyo alidai Dr Slaa alimpora mke wake, hivyo akaitaka mahakama  impatie haki  yake. Hata hivyo kesi hiyo haikupewa mashiko makubwa.

Misukosuko ya wawili hao iliendelea ambapo mwaka 2012 aliyekuwa  mke wake, Rose Kamili alifungua kesi kupinga ndoa hiyo huku akitaka alipwe milioni 50.
Dr Slaa na Mushumbusi wanaishi kwa takribani miaka sita sasa na waliwahi kuanza maandalizi ya kufunga ndoa wakiwa hapa nchini lakini wakashindwa kutokana na mapingamizi hayo.
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger