Sunday 21 April 2024

RAIS SAMIA AFANYA MAGEUZI HUDUMA BORA ZA AFYA, KILIMO

...
 


Na Mwandishi Wetu, 

Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mhe. Jenista Mhagama amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora ya afya  pamoja na ruzuku ya mbolea kwa wakulima katika Mkoa wa Ruvuma.

Mhe. Jenista ameyasema hayo wakati wa ziara ya  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi, Dkt. Emmanuel Nchimbi mkoani Ruvuma.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger