Saturday 5 March 2016

TANZIA:MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MASWA NDG.KAGENZI AFARIKI DUNIA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
[​IMG]
Kafariki jana usiku ikiwa ni masaa machache tu yamebaki Majaliwa amtembelee akiwa ziarani Simiyu.
Sababu kubwa ni pressure ,wakati anakimbizwa bugando akafariki dunia.
R I P MKUU ,innocent the blogger boy naheshimu mchango wako ktk wilaya yangu ya MASWA.

MASWAYETU BLOG TEAM TUPO PAMOJA NANYI KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger