![[IMG]](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-0/s480x480/10509694_916759931671513_3953820200035332623_n.jpg?oh=f132a8bfbe3658233e8492c79467a3ec&oe=575A0F7C)
Kafariki jana usiku ikiwa ni masaa machache tu yamebaki Majaliwa amtembelee akiwa ziarani Simiyu.
Sababu kubwa ni pressure ,wakati anakimbizwa bugando akafariki dunia.
R I P MKUU ,innocent the blogger boy naheshimu mchango wako ktk wilaya yangu ya MASWA.
MASWAYETU BLOG TEAM TUPO PAMOJA NANYI KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU
0 comments:
Post a Comment