Thursday 17 March 2016

TANZIA;MWANAFUNZI WA MWAKA WA NNE CHUO KIKUU CHA SUA ADUMBUKIA KWENYE BWAWA NA KUFARIKI DUNIA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mwanafunzi wa SUA kozi ya engineering Mwaka wa nne ENG.KUNYUMBA,ISACK alifariki dunia jana tarehe 16/3/2016.
Kifo cha marehemu kimetokea wakati akiwa anachukua data za researxh maneo ya mabwawa ya horticulture SUA.Kwa bahati mbaya aliteleza kwenye bwawa la hortcuture,juhudi za kumwokoa zilifanyika lakini alikuwa tayari amefariki dunia.
Maswayetu-blog inawatakia pole familia ya marehemu kwa kipindi hiki kigumu,Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi AMEN.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger