Sunday 20 March 2016

USHAURI MUHIMU KWA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE 2015 KUHUSU KOZI MBALIMBALI AMBAZO ZINAWAFAA KULINGANGA NA MATOKEO WALIOYOPATA NA JINSI YA KUOMBA 2016/2017

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Habari zenu,
Kwanza kabisa kama kichwa kijielezavyo hapo juu ,leo nimemaua kuzungumizia kuhusu wanafunzi waliomaliza kidato cha nne mwaka 2015 na wanatarajia kujiunga na vyuo mbalimbali kwa masomo mbalimbali mwaka wa masomo 2016/2017.

Nitazungumzia mada hii muhimu kwa kugusa maeneo yafuatayo,
1.SEKTA YA AFYA
2.SEKTA YA KILIMO NA MIFUGO
3.SEKTA YA  ELIMU
4.SEKTA YA ENGINEERING
5.SEKTA YA SHERIA NA BIASHARA

1.KOZI ZA AFYA
Afya ni moja kati ya sekta zinazoajiri kwa wingi sana vijana wengi kutokana na kutokuwepo kwa watalam wa kutosha kufiti nafasi hii adimu ya kuhudumia watu.
katika sekta hii inajumuisha kozi zifuatazo,
-nursing
-medicine
-pharmacy
-laboratory
Kutokana na ufaulu wa matokeo ya kidato cha nne ,Taasisi muhimu inayojishughulisha na udahili wa wanafunzi katika ngazi hii ya cheti na diploma wametoa sifa ambazo zitakufanya na kukuongoza katika kufanya maamuzi yako.
Ili uweze kudahiliwa(kuchaguliwa ktk chuo chochote cha afya tanzania ktk ngazi ya diploma na cheti kwa kozi tajwa hapo juu inabidi uwe umesoma masomo yafuatayo;
-physics
-chemistry
-biology
Masomo tajwa hapo juu ni lazima uyasome kama unataka kujiunga na kozi za afya.Pili inabidi uwe umefaulu kwa viwango vifuatavyo,
Kama una -physics-D,-chemistry-D,-biology-D(una sifa za kujiunga na cheti)
Kama una -physics-D,-chemistry-C,-biology-C(una sifa za kujiunga na Diploma)
 Kutokana na vigezo tajwa hapo juu unaweza kuomba chuo chochote kile tanzania na nakuhakikishia 100% utachaguliwa kujiunga.
NOTE:KAMA HAUNA VIGEZO TAJWA HAPO JUU USIJISUMBUE KWANI HUTACHAGULIWA.

DEADLINE NI TAR 31 MARCH 2016

JINSI YA KUFANYA APPLICATION



ORODHA YA VYUO VYA AFYA  UNAVYOTAKIWA KUOMBA



S/N Institute Programme NTA Level Enrolment Capacity TOTAL
Male Female
1 Primary Health Care Institute - Iringa Diploma in Nursing Level 4-6 30 15 45
2 Mwambani School of Nursing - Chunya Diploma in Nursing Level 4-6 40 20 60
3 New Mafinga Health and allied Institute- Mafinga Diploma in Nursing Level 4-6 25 25 50
Certificate in Community Health  Level 4 35 35 70
4 St. Aggrey College of Health Science- Mbeya Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 25 25 50
5 Bulongwa Health Science Institute- Makete Diploma in Nursing and Midwifery Level 4-6 20 30 50
Certificate in Community Health Level 4 20 20 40
7 Lugarawa School of Nursing- Ludewa Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-5 30 10 40
8 Mbalizi Institute of Health Sciences - Mbeya Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
9 Yohana Wavenza Health Institute- Mbozi Diploma in Nursing Level 4-6 30 20 50
10 St. Bakhita College of  Health - Nkasi Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 25 25 50
11 Mkomaindo Certificate in Community Health Level 4 40 40 80
12 Huruma School of Nursing Diploma in Nursing and Midwifery Level - 4-6 25 25 50
13 Hydom School of Nursing Diploma in Nursing Level - 4-6 10 30 40
14 Same School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery Level - 4-5 20 30 50
15 St. Augustin Institute of Health Sciences (CHW) Hospital Level 4 40  40 80
school                   50 50 100
Elijerry centre 50 50 100
16 Archibishop John Ramadhani School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery Level 4 -5 25 25 50
17 Kilema College of Health Sciences Certificate in Medical laboratory Level 4 -5 25 25 50
18 Spring Institute of Business and Sciences Diploma in Pharmaceutical Science Level 4- 5 20 20 40
19 Nicodemus Hhando School of Health Sciences Certificate in Medical laboratory Level 4 -5 25 25 50
21 Besha Health Training Institute Certificate in Medical laboratory Level 4-5 25 25 50
Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
22 Bumbuli (SEKOMU) Certificate in Clinical Medicine Level 4-5

45
Diploma in Clinical Medicine Level 4-6

90
Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
23 Tandabui Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
24 Sengerema COTC Certificate in Medical laboratory Level 4-5 35 15 50
25 Mwasenda Certificate in Medical laboratory Level 4-5 25 25 50
26 Royona Certificate in Medical laboratory Level 4-5 30 40 70
27 Bukumbi Nursing Certificate in Nursing and midwife Level 4-5 25 25 50
28 Kagemu EHS Certificate in Environmental Health Science Level 4-5 10 10 20
Diploma in Environmental Health Science Level 4-6 15 15 30
29 Kolandoto Certificate in Nursing Level 4-5 30 30 60
Certificate in Community Health Level 4 30 30 30
30 Mikocheni School of Nursing  Diploma in Nursing Level 4-6 20 20 40
Certificate  in Nursing Level 4-5 20 20 40
31 Kulagwa Certificate in Community Health Level 5 40 40 80
32 DECCA College of Health and Allied Sciences Diploma in Medical Laboratory Level 4-6 60 40 100
Diploma in Nursing Level 4-6 50 50 100
33 Mvumi Institute of Health Sciences Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 10 15 25
Diploma in Nursing and Midwifery Level 4-6 20 30 50
Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-5 40 30 70
Certificate in Community Health Level 4 20 30 50
34 Tabora Institute Diploma in Clinical Medicine Level 4-6 50 50 100
Certificate in Community Health Level 4 50 50 100
35 Kilimatinde Certificate in Nursing and Midwifery Level 4-5 40 40 80
36 Nkinga Institute of Health Sciences Certificate in Nursing Level 4-5 10 20 30
Diploma in Nursing Level 6 20 20 40
Certificate in Medical Laboratory Science Level 4-6 15 15 30
37 Iambi School of Nursing Certificate in Nursing and Midwifery level 4-5 30 20 50
38 St. Johns University Diploma in Nursing Level 4-6 75 75 150
39 Rukwa College of Health Sciences Certificate in Community Health Level 4 25 25 50
40 Massana College of 
 Nursing
Technician Certificate in Nursing Level 4 - 5 20 20 40
Ordinary Diploma in Nursing


NITAENDELEA........
Level 4 - 6


20 20 40
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger