Saturday, 16 February 2019
WILAYA YA MUFINDI YAANZA KUPIGA KURA KUWABAINI WABAKAJI NA WALAWITI
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI KANGI LUGOLA APOKEA GARI,AKEMEA POLISI KUSINDIKIZA BANGI
Friday, 15 February 2019
MWANAMKE AFARIKI KWA KUBAKWA NA KULAWITIWA MANYARA
WANANCHI WAPIGA KURA ZA SIRI KUBAINI WATUHUMIWA WA MAUAJI YA WATOTO BUSEGA
Airbus kusitisha uzalishaji wa ndege zake aina ya A380
Serikali Yakabidhi Eneo La Mradi Wa Umeme Wa Maji Mto Rufiji Kwa Mkandarasi Tayari Kwa Kazi Kuanza
Hatua hiyo sasa inaashiria kuanza kwa kazi ya ujenzi wa mradi huo wa umeme ambao utazalisha Megawati 2,115 ambazo zitaingizwa kwenye dridi ya Taifa na kuifanya Tanzania kuwa na umeme mwingi na wa uhakika.
Waziri wa Nishati, Dk Medard Kalemani alikabidhi mradi huo jana katika eneo la Hifadhi Matambwe lililopo mpakani mwa mikoa ya Pwani na Morogoro, akisema faida nyingine ya mradi huo utakapokamilika bei ya umeme itashuka kwa kiwango kikubwa na utasaidia nchini kutekeleza rasilimali muhimu za Taifa.
Hiki Ndicho Wanacho Kiwaza Wanaume Wengi Kuhusu Kuingia Katika Mahusiano /ndoa Na Single Mothers
Mwigulu Nchemba Aruhusiwa Kutoka Hospitali
Dk Mwiguli alipata ajali Februari 13, 2019 katika eneo la Migori mkoani Iringa akitokea mkoani humo kwenda mkoani Singida baada ya gari lake kugonga punda waliokuwa wanakatisha barabara.
Katika ajali hiyo Dk Mwigulu, aliumia maeneo ya kifua, nyonga na kwenye mguu lakini dereva wake ambaye ni mtu pekee aliyekuwa naye kwenye gari hilo hakuumia mahali popote.
“Mheshimiwa Mwigulu anaendelea vizuri na sasa tumemruhusu kurejea nyumbani baada ya afya yake kuimarika,” amesema Dk Chandika.
TANESCO WAPEWA SIKU TATU KUANDAA MKAKATI WA KUMALIZA TATIZO LA UMEME SONGWE
WILAYA YA MUFINDI IMEANZA KUPIGA KURA KUWABAINI WABAKAJI NA WALAWITI
KOCHA MKUU WA YANGA ZAHERA AFUNGUKA KABLA YA KUIVAA SIMBA KESHO

Ujenzi Wa Reli Ya Kimataifa Dar Es Salaamhadi Morogoro Washika Kasi, Wafikia Asilimia 42
NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji amesema kuwa Serikali imedhamiria kwa dhati kukamilisha mradi mkubwa wa Reli kwa kiwango cha Kimataifa (SGR), ambapo tayari kiasi cha zaidi ya shilingi trilioni 2 kimetolewa mpaka sasa kwa ajili ya ujenzi huo.
Dkt. Kijaji ametoa kauli hiyo baada ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Reli hiyo kutoka Dar es Salaam hadi eneo la Soga, umbali wa kilometa 53, na kujionea maendeleo makubwa ya ujenzi wa reli hiyo.
Ameelezea kuridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wake na kumpongeza mkandarasi anaye jenga reli hiyo, Kampuni ya Yapi Merkezi, kwa kutekeleza ujenzi huo kwa viwango vya hali ya juu ambapo ameelezwa kuwa, treni ya kwanza kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro inatarajia kuanza safari zake Mwezi Novemba mwaka huu kama kila kitu kitakwenda kama kilivyopangwa.
"Ninampongeza sana Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa jitihada zake kubwa na kuamua kwa dhati kutekeleza mradi huu mkubwa na miradi mingine, ukiwemo mradi wa kuzalisha umeme kwa njia ya maporomoko ya maji ya Mto Rufiji, ambayo kukamilika kwake kutachochea uchumi wa viwanda" alisema Dkt. Kijaji
"Tunakwenda kwenye Tanzania ya viwanda, tutakuwa na viwanda kila mahali, tumeanza ujenzi wa mradi wa umeme wa megawat 2,115, viwanda vitazalisha bidhaa ambazo zitahitaji miundombinu ya usafirishaji, reli hii itatumika na tunatarajia ifikapo mwaka 2025, Tanzania itakuwa ni nchi yenye kipato cha kati" aliongeza Dkt. Kijaji
Kwa upande wake, Meneja wa Mradi wa Ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa (SGR), kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, Mhandisi Machibya Masanja, amesema kuwa ujenzi wa reli hiyo umekamilika kwa asilimia 42.
"Mradi wetu unaenda vizuri na kwa wakati, zoezi la ujenzi na utandikaji reli tumeanza katika Jijini la Dar es Salaam umeanza na unaendelea vizuri ambapo ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 55 na utandikaji wa reli katika Jiji hili utafikia kilometa 10 mwishoni mwa mwezi Februari" alifafanua Mhandisi Masanja.
na nguvu kubwa imeelekezwa katika ujenzi wa tuta na madaraja, zezi ambalo limefikia asilimia 55 hivi sasa" alifafanua Mhandisi Masanja
Ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa kutoka Dar es Salaam, Morogoro, Dodoma hadi Mwanza, na baadae kuunganisha mtandao wake na nchi jirani za Kongo, Uganda, Burundi na Rwanda, unatarajia kugharimu zaidi ya shilingi trilioni 7.
Katika hatua nyingine, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, amezungumza na wakazi wa eneo la Guluka Kwalala, Gongo la Mboto, waliokuwa wakiendelea na taratibu zao za kulipwa fidia ambapo amewahakikishia kuwa Serikali itaendelea kuwaletea maendeleo.
Baadhi ya wakazi hao, pamoja na kuiomba Wizara ya Ardhi na Makazi iwasaidie kupata viwanja kwa ajili ya kujenga makazi yao baada ya kulipwa fidia kupisha ujenzi wa mradi huo wa Reli ya Kisasa, wamempongeza Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kusimamia ustawi na maendeleo ya nchi na kuahidi kuendelea kumuunga mkono.
Mwisho
KAULI YA MWIGULU NCHEMBA BAADA YA KURUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

Korean Government Scholarship Program, Scholarship Benefit & Application procedures
Korean Government Scholarship Program
Purpose
To provide international students with opportunities to conduct advanced studies in undergraduate & graduate programs at higher educational institutions in the Republic of Korea in order to promote international exchanges in education and mutual friendship between countries.
Available Options in Universities
Undergraduate course: 4-year courses at designated universities
※ Transferring between universities is not allowed. (e.g. Starting studies at the junior year is not allowed.)
Graduate course: Master’s or Ph.D. courses at general graduate schools of Korean universities
Total Candidates to be Selected
170 persons (undergraduate course), 700 persons (graduate course)
Korea Language Training
Grantees are required to take Korean language training courses for 1 year at a language institution located on-campus of the domestic universities. (Those who have attained a Korean language fluency score higher than level 5 in TOPIK are exempt from this requirement.)
The post Korean Government Scholarship Program, Scholarship Benefit & Application procedures appeared first on Udahiliportal.com.
Korea Scholarships academic year 2019-2021: Qualifications and Procedure for the Scholarship Award
Korea Scholarships academic year 2019-2021: Qualifications and Procedure for the Scholarship Award
※ Applicants should not hold Korean citizenship.- Applicants should have adequate health, both mentally and physically, to stay in a foreign country for a long time.
– Should be under 25 years of age at the date of entrance. (Undergraduate)
– Should be under 40 years of age at the date of entrance. (Graduate)
– Have finished or be scheduled to finish formal education of all elementary, middle, high school courses by the date of arrival. (Undergraduate)
– Possess a grade point average (G.P.A.) above 80% from the last educational institution attended.
– Hold a Bachelor’s degree or a Master’s degree by the date of arrival. (Graduate)
※ Applicants who have previously acheived in any undergraduate program, master’s program, or doctoral program in Korea cannot apply for this program.
However, a former or current KGSP scholar who hold the overall grade of 90% or above can reapply to this program once either through the embassy or university track.
Applicants should submit all documents related to their scholarship application to the Korean Embassy in their country of residence to or the domestic university concerned.
The post Korea Scholarships academic year 2019-2021: Qualifications and Procedure for the Scholarship Award appeared first on Udahiliportal.com.
MBUNGE ATISHIWA KUAWA KWA KUNYOFOLEWA NYETI ZAKE NA WASIOJULIKANA








