Habari yenu,Serikali kupitia wizara ya
elimu na mafuzo ya ufundi imefanya selection ya wanafunzi
waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu special diploma UDOM ambao
hawajachaguliwa kidato cha tano 2015.
Kwa habari za kuaminika kutoka vanzo
vyetu vya habari ni kwamba zoezi la kuhesabu kura limekamilika na kura
kwa wagombea wetu ni kama ifuatavyo, CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempitisha Dk. John Pombe Magufuli kuwa
mgombea urais kupitia chama hicho. Anandika Mwandishi Wetu, Dodoma …
(endelea).
MWANANCHI “Anakatwa, hakatwi” ndilo swali lililokuwa
linaulizwa nchi nzima jana, lakini hatimaye Kamati Kuu ya CCM
iliyokutana hadi usiku wa manane iliibuka na jibu kwamba Edward Lowassa amekatwa, huku kukiwa na wingu zito baada ya wajumbe watatu kupingana na uamuzi huo.