INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Kama kawaida yetu MASWAYETU BLOG shule ya
kidato cha sekondari igowole iliyopo mjini iringa imeongezewa wanafunzi
takribani 207 baada ya hapowali kuwa na wanafunzi wapatao 30 kidato cha tano na
27 kidato cha sita.
1. Kutumia gari
Hapa jamaa wanakuja na roli kubwa au dogo kisha wanapakia kama yao kisha kutokomea wanakojua wao. Hii haijarishi ka umeiloki ilimradi tu imepaki ambapo huioni.
2. Mtu wa karibu
Aweza kuwa mke, mme,rafiki, jirani au mgeni, anakusoma unalala saa ngapi then wanakuja usiku kitu kinaibiwa.
3. Wizi magetini
Hapa jamaa wanawasoma wale wanaolaza pikipiki getini. Wanaruka ukuta na waya au kamba za manira the wa ndani wanainyanyua then wa nje wanaivuta.
