Wednesday 24 August 2022

WAZIRI MKUU MSTAAFU AFARIKI GEREZANI

...

Lounceny Camara

WAZIRI wa zamani wa Guinea Lounceny Camara alikuwa tayari amelazwa hospitali mara moja kabla ya kufungwa jela mwezi Mei, chanzo cha kifo chake kilitokana na kupatwa na kiharusi Ijumaa na alifariki hospitalini jioni iliyofuata, kaka yake alithibitisha.


Familia ya Lounceny Camara ilikata rufaa mahakamani bila mafanikio ili Camara aruhusiwe kusafiri nje ya nchi kupata matibabu, ameongeza kaka yake alie kuwa anatoa taarifa.

Kanali Mamady Doumbouya, Rais wa Guinea

Lounceny Camara,aliekuwa na umri wa miaka 62, ni kati ya mawaziri wa zamani na maafisa waandamamizi walioshtumiwa ubadhilifu wa pesa za umma na kufungwa jela baada ya jeshi kumuondoa madarakani Rais wa zamani Alpha Conde mwaka uliopita.



Imeandikwa:Leokadia Charles kwa msaada wa mtandao
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger