Monday 29 August 2022

PAPA FRANCIS ATEUA MAKARDINALI 20 WATAKAOSHIRIKI KUTEUA MRITHI WA KITI CHAKE

...

Papa Francis akiwatawaza Maaskofu kuwa Makardinali
Papa Francis akiwa katika kanisa la St.Peter’s

BABA Mtakatifu na mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis (85) amewateua maaskofu 20 na kuwatawaza kuwa makardinali watakaoongezeka kwenye jopo litakaloshiriki kumteua mrithi wa kiti chake.


Papa Francis katika uteuzi wake huo alijaribu kuwapa kipaumbele makardinali wa jamii zilizotengwa zaidi.

 Mmoja wa waliochaguliwa ni Askofu Hyderabad Anthony Poola kutoka nchini India mwingine ni Askofu Peter Ebere Okapaleke kutoka Nigeria.

Hafla hiyo ya kuwatawaza Maaskofu hao ilifanyika katika kanisa la St.Peters huko Vatican. Katika waliotawazwa 16 kati yao wana umri chini ya miaka 80.


Imeandikwa:Dunstan Mtili Erick kwa msaada wa mitandao
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger