Tuesday 23 August 2022

KATAMBI ASHIRIKI SENSA...."KUNA HAJA YA KILA MMOJA KUHESABIWA"

...

Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,vijana,ajira na wenye ulemavu, akishiriki zoezi la kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi, kwenye Makazi yake Kata ya Old Shinyanga (kushoto) ni Karani Simoni Samweli akichukua taarifa zake.

Katambi akizungumza mara baada ya kumaliza kuhesabiwa Sensa ya watu na makazi leo Agosti 23, 2022, amesema
Upo umuhimu wa kila mmoja kuhesabiwa ili Taifa lijue linahudumia watu wangapi na kukidhi matakwa ya wananchi kuirahisishia Serikali kutekeleza majukumu yake.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger