Monday 22 August 2022

Picha : SHAMRA SHAMRA KATAMBI AKIHAMASISHA SENSA NA KUPONGEZA VIONGOZI WA CCM

...
Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu akiwa amebeba picha ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati akiwasili katika Ofisi za CCM Wilaya ya Shinyanga Mjini leo Jumatatu Agosti 22,2022 kwa ajili kuwapongeza Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Jumuiya zake Ngazi ya Kata waliochaguliwa kwenye uchaguzi wa chama hicho sambamba za kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la Sensa ya Watu na Makazi litakalofanyika Agosti 23,2022. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog




Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger