Friday 26 August 2022

MGEJA AWAOMBA WATANZANIA KUDUMISHA MILA NA UTAMADUNI

...

Mwenyekiti wa Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja (katikati) amewaombaWanatanzania kudumisha utamaduni kwa kupenda vyakula vya asili kwani vina faida nyingi katika kujenga afya ya mwili.


Mgeja ametoa ushauri huo ofisini kwake Mjini Kahama alipokuwa akipata chakula cha asili asubuhi alipotembelewa na wajasiriamali na kupeana ushauri wa ukuzaji wa mitaji.

"Wenzetu raia wa China wameshikilia utamaduni wao na kuendeleza mpaka sasa ushauri wangu sio mbaya au dhambi kuiga mazuri kwa mwenzako",amesema Mgeja.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger