Saturday 16 July 2022

WAZIRI WA MIFUGO NA UVUVI ATEMBELEA BANDA LA TVLA MAONESHO YA MIFUGO KIBIASHARA CHALINZE

...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Mashimba M. Ndaki (MB) akipata maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kutoka kwa Afisa Utafiti Mifugo wa TVLA Ndg. Msafiri S. Kalloka kwenye uzinduzi wa maonesho ya Mifugo kibiashara yaliyofanyika kwenye uwanja wa maonesho Highland Estate LTD, Ubena Zomozi, Chalinze Julai 15, 2022.Ndg. Msafiri S. Kalloka Afisa Utafiti Mifugo wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) akitoa maelezo kuhusiana na huduma zinazotolewa na Wakala kwa wanananchi waliotembelea banda la TVLA kwenye uzinduzi wa maonesho ya Mifugo kibiashara yaliyofanyika kwenye uwanja wa maonesho Highland Estate LTD, Ubena Zomozi, Chalinze Julai 15, 2022
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger