Sunday, 31 July 2022

UTEUZI: RAIS SAMIA AFANYA UTEUZI WA MKUU WA MKOA WA MARA

 ...
Share:

WAZIRI MKENDA AUNDA TUME KUCHUNGUZA UTOAJI MIKOPO KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU

Waziri wa elimu,Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda. Na Mathias Canal, KILIMANJARO  WAKATI dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 likiwa wazi kwa muda wa siku 70 kuanzia Julai 19 hadi Septemba 30 mwaka huu, Serikali imetangaza Tume ya watu watatu kuchunguza utoaji...
Share:

TANESCO DODOMA YAZIDI KUSHIKA KASI UTOAJI ELIMU KWA WANANCHI WANAONUFAIKA NA MIRADI WA REA.

Afisa Uhusiano na huduma kwa Wateja kutoka Shirika la TANESCO Mkoa wa Dodoma Sarah Libogoma,akizungumza na wananchi wa Kata ya Mnadani wakati akihamasisha pamoja na kutoa elimu kwa wananchi watakaonufaika na miradi ya REA jijini Dodoma. Afisa Usalama TANESCO Mkoa wa Dodoma Bw.Madega Dudu,akitoa...
Share:

SIMBA SC YAIBUKA NA SLOGAN MPYA "WE ARE UNSTOPPABLE".....HATUSHIKIKI HATUZUILIKI

CEO wa Simba Barbara Gonzalez Kushoto akizindua Slogan mpya kwa msimu huu We Are Unstoppable (Kushoto) ni malkia wa Bongo Fleva Zuchu  ** Mtendaji Mkuu wa Simba Barbara Gonzalez amesema kuwa msimu huu klabu hiyo imejipanga kurudisha makombe yote ya ndani na kuhakikisha inafika nusu fainali ya...
Share:

MKURUGENZI MKUU REA ASISITIZA UCHAPAKAZI KWA WATUMISHI

Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (Meza Kuu-aliyesimama), akizungumza na Wafanyakazi wa Wakala hiyo katika kikao maalumu kilichofanyika jijini Dodoma Julai 29, 2022. Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi Hassan Saidy (katikati),...
Share:

Video : BUGANGA - MAYEMU 'Bangi'

Hii hapa ngoma ya Msanii Buganga inaitwa Mayemu 'Bangi'...
Share:

BANK OF AFRICA YAWAPATIA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAFANYABIASHARA MKOANI MWANZA

Mkurugenzi Mtendaji wa Bank of Africa (BOA), Adam Mihayo, akifungua warsha ya kuwajengea uwezo wafanyabiashara wateja wa benki hiyo iliyofanyika jijini Mwanza. *** BANK OF AFRICA-TANZANIA imeendesha warsha ya uwezeshaji wajasiriamali iliyolenga wafanya biashara wadogo na wakati (SME) mkoa wa Mwanza....
Share:

MGAWO WA UMEME KATIKA VIJIJI 20 LUDEWA WAPATIWA UFUMBUZI NA MAKAMBA

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akizungumza na Wananchi katika Kijiji cha Lugarawa wilayani Ludewa baada ya kufika kijijini hapo kutatua changamoto ya upatikanaji umeme. Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba akimsikiliza mmoja wa Wananchi katika Kijiji cha Lugarawa wilayani Ludewa baada...
Share:

Saturday, 30 July 2022

SERIKALI INAPAMBANA KUTATUA CHANGAMOTO YA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU

******************** Naibu Waziri Mary Masanja (Mb) amesema kuwa Serikali itahakikisha inapata ufumbuzi wa changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu wanaovamia Makazi ya watu hususan tembo. Ameyasema hayo leo katika ziara ya kikazi alipotembelea Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania...
Share:

DON BOSCO DIDIA YATANGAZA NAFASI ZA KUJIUNGA NA FORM ONE 2023

 ...
Share:

MWANAMKE AISHI NA MAITI YA KAKA YAKE...MWENYEWE ADAI NI MUNGU

Polisi mjini Kakamega nchini Kenya wamemzuilia mwanamke wa makamo kwa madai ya kuishi na maiti kinyume na sheria. Shamim Kabere, mkazi wa Iyala, eneo bunge la Lurambi, anasemekana kuuhifadhi mwili wa Ainea Tavava, 48, ndani ya nyumba yake kwa zaidi ya siku 10. Juhudi za wakazi kutafuta chanzo cha...
Share:

AKUTWA AMEFARIKI GESTI BAADA YA KURUSHANA ROHO NA MREMBO

Polisi huko Migori wanachunguza kisa ambacho kinaripotiwa kuwa mwanaume mwenye umri wa miaka 52 anadaiwa kuzimia na kufariki katika nyumba ya kulala wageni (Guest House) asubuhi ya jana ijumaa nchini Kenya. Kwa mujibu wa Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), marehemu; Naftali Nyandera,...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 30,2022

Magazetini leo Jumamosi July 30 2022 ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger