Friday 22 April 2022

RATIBA YA YA KUCHUKU NA KUREJESHA FOMU ZA MAOMBI YA UONGOZI CCM NGAZI YA TAWI

...

 Ratiba ya kuchukua na kurejesha fomu za maombi ya uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ngazi ya tawi.
i. Mwenyekiti wa CCM wa Tawi.


ii. Katibu wa CCM wa Tawi.


iii. Katibu wa Siasa na Uenezi.


iv. Wajumbe watano(5) wa Mkutano kuu wa CCM ya Kata/Wadi.


v. Wajumbe kumi(10) wa Halmashauri kuu ya CCM ya Tawi.


vi. Mjumbe mmoja(1) wa Mkutano kuu wa CCM wa Jimbo na Wilaya
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger